Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
jamani kweli naamini watanzania wamechoka
leo nilikuwa huku shinyanga vijijini kwa ajili ya kuwaelimisha vijana umuhimu wa kuhudhuria kupiga kura siku ya jumapili,mida ya jioni nikajisogeza katika kijiwe kimoja ambocho ndio kuna tv pekee ya kijiji(kwa wale wenyeji kijiji kinaitwa mwamalula) mida hiyo watu walikuwa wamejirundika wengi sana wamekaa kimya wanaangalia taarifa ya habari,na kwa wakati huo habari iliyokuwa hewani ni ya kampeni za dk slaa,kilichonishangaza zaidi baada ya habari za kampeni ya dk slaa zilifuatia habari za thithiem,sikujua watu walisambaratika vipi huku nyuma wakiacha maneno machafu ambayo sikutegemea,kwa kweli ilinitia moyo sana
katika hali ya kushangaza baba yangu ni kigogo wa ccm kwa muda mrefu sana katika ngazi ya wilaya ila leo amenipigia sim na kuniuliza kama nimejiandikisha kupiga kura,nikamjibu kuwa nimejiandikisha na kura ntapiga
BABA AKANIAMBIA "NAOMBA UMPIGIE SLAA KURA" nikamwambia tupo pamoja
JF chagua SLAA kwa maendeleo
leo nilikuwa huku shinyanga vijijini kwa ajili ya kuwaelimisha vijana umuhimu wa kuhudhuria kupiga kura siku ya jumapili,mida ya jioni nikajisogeza katika kijiwe kimoja ambocho ndio kuna tv pekee ya kijiji(kwa wale wenyeji kijiji kinaitwa mwamalula) mida hiyo watu walikuwa wamejirundika wengi sana wamekaa kimya wanaangalia taarifa ya habari,na kwa wakati huo habari iliyokuwa hewani ni ya kampeni za dk slaa,kilichonishangaza zaidi baada ya habari za kampeni ya dk slaa zilifuatia habari za thithiem,sikujua watu walisambaratika vipi huku nyuma wakiacha maneno machafu ambayo sikutegemea,kwa kweli ilinitia moyo sana
katika hali ya kushangaza baba yangu ni kigogo wa ccm kwa muda mrefu sana katika ngazi ya wilaya ila leo amenipigia sim na kuniuliza kama nimejiandikisha kupiga kura,nikamjibu kuwa nimejiandikisha na kura ntapiga
BABA AKANIAMBIA "NAOMBA UMPIGIE SLAA KURA" nikamwambia tupo pamoja
JF chagua SLAA kwa maendeleo