Ukisoma haya maoni unaweza kudhani kuna Zitto Kabwe wawili duniani!

Zitto ni opportunist sana; huzungumza lolote mahala popote anapodhani atapata uamaarufu. Nilimsapport sana mwaka 2007 kwa ajili ya skendo ya Buzwagi lakini baadaye nikagundua kuwa alikuwa ameidakia tu ili kupata umaarufu kama ilivyo ada yake.
 
Hivi kuna wanasiasa ambao hawana msimamo kama wa chama tawala? Hao ndio waliopitisha mikataba ya hovyo ya gesi na leo mwenyekiti wao kasema mikataba ya hovyo eti wanashangilia kwa kusema mwenyekiti ni jembe huku wamesahau kuwa wao ndio waliopitisha akiwemo na cheamani
Hoja yako ni nini?
 
“Mikutano mingine ya kiserikali inaweza kufanyika kwa njia ya mtandao kama Video Conference, kama alivyofanya Waziri Mkuu juzi akiwa na Wakuu wa Mikoa.“-Zitto Kabwe
Mkuu;
Hoja yangu ilikuwa ni vikao vya bunge. Hoja yangu sio vikao vya serikali.

Halafu vikao vya bunge kwa njia ya video conference mpaka vipitishwe na bunge na kuingizwa kwenye kanuni za bunge.

Kupitisha kanuni za bunge lazima vikao vya bunge vifanyike.
 
Zitto ni opportunist sana; huzungumza lolote mahala popote anapodhani atapata uamaarufu. Nilimsapport sana mwaka 2007 kwa ajili ya skendo ya Buzwagi lakini baadaye nikagundua kuwa alikuwa ameidakia tu ili kupata umaarufu kama ilivyo ada yake.
Binadamu tunajifunza kutokana na makosa!

Kama umejua makosa yako basi ni bora kutoyarudia!
 
Maoni ya Zitto Kabwe yamenifanya nizidi kuwa na shaka/ajizi (reservation) kwa yale ambayo anayasema lakini pia yanayosemwa na wanasiasa wa Tanzania!

Kwa muda wa siku 12, Zitto amebadili msimamo kwa jambo ambalo mazingira yake bado ni yaleyale. Ni kama anachokishauri anakifanya kulingana na upepo unavyovuma bila kujali kama huo upepo niwa muda mfupi au muda mrefu!

Nakumbuka mwaka 2013, Zitto aliwahi kusema tusiwaamini wanasiasa, Chama Tawala wala Wapinzani.

Ukitaka kusoma alichokisema Zitto kuhusu kutowaamini wanasiasa unaweza kugonga hapa;

LINK>>>Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

Nadhani Zitto haifuati kanuni inayosema, ''ukiwa muongo usiwe msahaulifu''

Haya ndiyo aliyoyasema Zitto ndani ya siku 12!





Katika moja ya mambo ambayo wanasiasa hasa wa upinzani yanawaangusha ni kukosa msimamo thabiti au kuwa vigeugeu kwa yale wanayoyasema na kuyatenda.

Zitto aliyeshauri bunge lifanye vikao vyake ili Waziri wa Fedha na Uchumi apeleke Bungeni Taarifa ya utafiti wa madhara ya mlipuko wa Korona lakini baada ya 12, Zitto huyo huyo anashangaa kwa nini bunge lifanye vikao vyake wakati kuna Janga la ugonjwa wa COVID-19?

Ni kama vile ametegesha mtego kama bunge likiahirishwa atajitokeza na kusema, unaona nilitoa ushauri wa kuahirisha bunge na wameufuata! Kama bunge halitaahirishwa na Waziri wa fedha kupeleka hoja bungeni, atajitokeza tena na kusema, unaona nilishauri serikali ipelekwa hoja bungeni kuhusu Janga la COVID-19.

Jiulize, mtu ambaye alifuata ushauri wa Zitto aliotoa tarehe 17/03/2020 na kuanza kutayalisha repoti ili apeleke bungeni, baada ya siku 12 anasikia tena ushauri ukitoka kwa Zitto huyo huyo akishangaa kwa nini bunge liendelee wakati kuna Janga la COVID-19.

Kwa misimamo hii ndio maana kampuni ya utafiti inayoitwa Afrobarometer ilifanya utafiti na kugundua wanasiasa wa upinzani wanaaminiwa na wananchi kwa asilimia 36.
Najizuia kutoa neno
 
Maoni ya Zitto Kabwe yamenifanya nizidi kuwa na shaka/ajizi (reservation) kwa yale ambayo anayasema lakini pia yanayosemwa na wanasiasa wa Tanzania!

Kwa muda wa siku 12, Zitto amebadili msimamo kwa jambo ambalo mazingira yake bado ni yaleyale. Ni kama anachokishauri anakifanya kulingana na upepo unavyovuma bila kujali kama huo upepo niwa muda mfupi au muda mrefu!

Nakumbuka mwaka 2013, Zitto aliwahi kusema tusiwaamini wanasiasa, Chama Tawala wala Wapinzani.

Ukitaka kusoma alichokisema Zitto kuhusu kutowaamini wanasiasa unaweza kugonga hapa;

LINK>>>Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

Nadhani Zitto haifuati kanuni inayosema, ''ukiwa muongo usiwe msahaulifu''

Haya ndiyo aliyoyasema Zitto ndani ya siku 12!





Katika moja ya mambo ambayo wanasiasa hasa wa upinzani yanawaangusha ni kukosa msimamo thabiti au kuwa vigeugeu kwa yale wanayoyasema na kuyatenda.

Zitto aliyeshauri bunge lifanye vikao vyake ili Waziri wa Fedha na Uchumi apeleke Bungeni Taarifa ya utafiti wa madhara ya mlipuko wa Korona lakini baada ya 12, Zitto huyo huyo anashangaa kwa nini bunge lifanye vikao vyake wakati kuna Janga la ugonjwa wa COVID-19?

Ni kama vile ametegesha mtego kama bunge likiahirishwa atajitokeza na kusema, unaona nilitoa ushauri wa kuahirisha bunge na wameufuata! Kama bunge halitaahirishwa na Waziri wa fedha kupeleka hoja bungeni, atajitokeza tena na kusema, unaona nilishauri serikali ipelekwa hoja bungeni kuhusu Janga la COVID-19.

Jiulize, mtu ambaye alifuata ushauri wa Zitto aliotoa tarehe 17/03/2020 na kuanza kutayalisha repoti ili apeleke bungeni, baada ya siku 12 anasikia tena ushauri ukitoka kwa Zitto huyo huyo akishangaa kwa nini bunge liendelee wakati kuna Janga la COVID-19.

Kwa misimamo hii ndio maana kampuni ya utafiti inayoitwa Afrobarometer ilifanya utafiti na kugundua wanasiasa wa upinzani wanaaminiwa na wananchi kwa asilimia 36.
Anatapatapa kupata kick,si unajua ni mtu ambae huwa umaarufu wake unapanda kwa kupitia kuibua mijadala kama ufisadi na kujifanya anajua sana kuliko wanasiasa wote. We juzi kakurupuka kuweka tweet kwamba Prof Janabi katumbuliwa,kuna kipindi alikurupuka pia akasema prof Asad ametekwa. Kama kawaida mfa maji...
 
Ukute umeishia darasa la saba B utaelewa lecture ya msomi wa uchumi level ya zitto kabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sio kuelewa mada za mtu msomi kama Zitto.Ni suala la kuambiana ukweli kwamba huyu ni mwanasiasa mpotoshaji,alipotosha kigoma kwamba polisi wameua raia mia moja,juzi amepotosha kuwa Prof Janabi ametumbuliwa na alipotosha kuwa Prof Assad ametekwa. Yote hii apate umaarufu wa kisiasa.
 
Anatapatapa kupata kick,si unajua ni mtu ambae huwa umaarufu wake unapanda kwa kupitia kuibua mijadala kama ufisadi na kujifanya anajua sana kuliko wanasiasa wote. We juzi kakurupuka kuweka tweet kwamba Prof Janabi katumbuliwa,kuna kipindi alikurupuka pia akasema prof Asad ametekwa. Kama kawaida mfa maji...
Maandiko yake ni kama anategesha! Nimeshangaa sana!
 
Maoni ya Zitto Kabwe yamenifanya nizidi kuwa na shaka/ajizi (reservation) kwa yale ambayo anayasema lakini pia yanayosemwa na wanasiasa wa Tanzania!

Kwa muda wa siku 12, Zitto amebadili msimamo kwa jambo ambalo mazingira yake bado ni yaleyale. Ni kama anachokishauri anakifanya kulingana na upepo unavyovuma bila kujali kama huo upepo niwa muda mfupi au muda mrefu!

Nakumbuka mwaka 2013, Zitto aliwahi kusema tusiwaamini wanasiasa, Chama Tawala wala Wapinzani.

Ukitaka kusoma alichokisema Zitto kuhusu kutowaamini wanasiasa unaweza kugonga hapa;

LINK>>>Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

Nadhani Zitto haifuati kanuni inayosema, ''ukiwa muongo usiwe msahaulifu''

Haya ndiyo aliyoyasema Zitto ndani ya siku 12!





Katika moja ya mambo ambayo wanasiasa hasa wa upinzani yanawaangusha ni kukosa msimamo thabiti au kuwa vigeugeu kwa yale wanayoyasema na kuyatenda.

Zitto aliyeshauri bunge lifanye vikao vyake ili Waziri wa Fedha na Uchumi apeleke Bungeni Taarifa ya utafiti wa madhara ya mlipuko wa Korona lakini baada ya 12, Zitto huyo huyo anashangaa kwa nini bunge lifanye vikao vyake wakati kuna Janga la ugonjwa wa COVID-19?

Ni kama vile ametegesha mtego kama bunge likiahirishwa atajitokeza na kusema, unaona nilitoa ushauri wa kuahirisha bunge na wameufuata! Kama bunge halitaahirishwa na Waziri wa fedha kupeleka hoja bungeni, atajitokeza tena na kusema, unaona nilishauri serikali ipelekwa hoja bungeni kuhusu Janga la COVID-19.

Jiulize, mtu ambaye alifuata ushauri wa Zitto aliotoa tarehe 17/03/2020 na kuanza kutayalisha repoti ili apeleke bungeni, baada ya siku 12 anasikia tena ushauri ukitoka kwa Zitto huyo huyo akishangaa kwa nini bunge liendelee wakati kuna Janga la COVID-19.

Kwa misimamo hii ndio maana kampuni ya utafiti inayoitwa Afrobarometer ilifanya utafiti na kugundua wanasiasa wa upinzani wanaaminiwa na wananchi kwa asilimia 36.


Ndiyo maana watu wanasema kumuamini Zitto ni sawa na kujipiga vidole kwa kujitakia maana yeye mwenyewe hajiamini iweje sie tumuamini? Jamaa ni msanii tu na anacheza na fursa, bila uchawi wala asingewika hapa nchini.
 
Back
Top Bottom