Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Enzi hizo Redio ni Moja tu RTD ya ukweli.
Sasa basi ilikuwa raha kusikiliza mpira halafu mshinde.
Na inayofuata hapa sasa ni nukuu ya kipande cha mwisho cha matangazo ya mpira wa Miguu kati ya Simba ya Dar es Salaam na Yanga ya Tanzania.
'''eeh Mafundi mitambo wetu ktk matangazo haya walikuwa ni Noel Namaloe na Edward Kwilasa.
Na kule ktk Gari yetu ya Matangazo alikuwepo Obi Mwambungu.
Mtangazaji Mwenzangu ni Omar Jongo, Mimi ni Charles Hillary, nawarudisheni Studio Barabara ya Nyerere kwake Nadhir Mayoka kwa ajili ya vipindi vinavyoendelea.
Kutoka hapa uwanja wa Taifa sina la ziada,
Yanga 2-0 Simba...Asanteni
Sasa basi ilikuwa raha kusikiliza mpira halafu mshinde.
Na inayofuata hapa sasa ni nukuu ya kipande cha mwisho cha matangazo ya mpira wa Miguu kati ya Simba ya Dar es Salaam na Yanga ya Tanzania.
'''eeh Mafundi mitambo wetu ktk matangazo haya walikuwa ni Noel Namaloe na Edward Kwilasa.
Na kule ktk Gari yetu ya Matangazo alikuwepo Obi Mwambungu.
Mtangazaji Mwenzangu ni Omar Jongo, Mimi ni Charles Hillary, nawarudisheni Studio Barabara ya Nyerere kwake Nadhir Mayoka kwa ajili ya vipindi vinavyoendelea.
Kutoka hapa uwanja wa Taifa sina la ziada,
Yanga 2-0 Simba...Asanteni