KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Wewe ni nani, 'Etwege?', sina muda wa kupoteza na mlevi.Chadema ni past tense, ni CHADEMA ipi tena unayosema itakuwa na mwisho?
Wewe ni nani, 'Etwege?', sina muda wa kupoteza na mlevi.Chadema ni past tense, ni CHADEMA ipi tena unayosema itakuwa na mwisho?
Unapenda iwe hivyo ili kuikwepa aibu iliyopo ya waliocheza hizi sarakasi kwa lengo la kuwapata wabunge wa upinzani ili wapangiwe kamati ambazo zinatakiwa kuongozwa na wabunge kutoka vyama vya upinzani. Kama ulimsikia Ndugai akisema, hata CHADEMA wakiwafukuza, yeye atawatambua tu na kuwapangia kamati. Hapo kama uko vizuri upstairs utajua nani anayewahitaji hawa wamama kuwa wabunge.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie uchaguzi ujao.
Na aliyemtoa Hanje usiku gerezani ni nan?Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie uchaguzi ujao.
Unachelewa sana kuelewa. Watu hawajasubiri mwisho wa match kuelewa hili. IQs zinatofautiana, wasikilize walioelewa ili uendelee na mengine, kwa sababu inaonekana kutokana na mahaba uliyonayo kwa CCM, hata inapofanya makosa wewe huwezi kuyaona. Hili liko wazi mno kiongozi, huhitaji kusubiri mwisho.Mwisho wa match tutaelewa mkuu, haina haja kutumia nguvu kubishana
Umeona Nusrat tu?Kwa hiyo mbowe ndio alienda kumtoa Nusrat Hanje gerezani, Nje ya utaratibu Wa makahakama na kwenda kuapa ? Nipe jibu hapa
Asikupotezee muda huyu jamaa na assumptions zake ambazo anapenda iwe hivyo ili mahaba yake yasiwe kwenye shida. Akubali tu wakubwa wake wamelikoroga hili.Kama ni hivyo, Spika na Bunge lake pamoja na NEC ndio watakuwa wameuzwa, wao ndio itambidi waende mahakamani kujiosha na Hilo,
Uliziona forms za NEC alizoonyesha Mnyika kwamba hawajazijaza hata jina moja na bado wanazo? Umesikia kwamba Mdee alikwepa swali la namna gani majina yao yalifika NEC? Umemsikia Mdee akikwepa kuelezea juu ya Nusrat Hanje kutolewa gerezani na kutupa mzigo kwa DPP na mahakama? Ukiandika maelezo kulingana na unavyopenda iwe, ni bora ukajiuliza maswali mengi yanayogoma kupata majibu.Mimi nahisi majina yalipelekwa ila orodha ilikuwa kubwa kuliko idadi ya watu 19, kumbuka majina huwa yanazidishwa ili yakae kama akiba inapotokea mbunge amefariki basi anachomolewa anayefuatia toka pale walipoishia kuteuliwa hukohuko NEC bila chama kulazimika kupeleka jina upya; kumbuka alipofariki Regia aliteuliwa mwingine kutoka orodha iliyokuwepo NEC. Ilitakiwa NEC wateue kuanzia namba 1 hadi 19 kwa kufuata series. Sasa nahisi baadhi ya hawa walioteuliwa hawakuwemo katika series ya 1 hadi 19 ila walikuwa baada ya namba 19. Inaonyesha Mdee alirekebisha series ya orodha kwa kuwachomoa baadhi waliokuwa ndani ya 19 na kuwaweka ambao walikuwa katika orodha lakini mbali i.e. baada ya namba 19. Hapa ndipo kiini cha mgogoro kati yao. Kwa maneno mengine wamezidiana kete.
Mgogoro utakwisha kwa baadhi kutolewa katika orodha na wengine wapya kuingizwa katika orodha ya namba 1 hadi 19. Win win situation
Unachelewa sana kuelewa. Watu hawajasubiri mwisho wa match kuelewa hili. IQs zinatofautiana, wasikilize walioelewa ili uendelee na mengine, kwa sababu inaonekana kutokana na mahaba uliyonayo kwa CCM, hata inapofanya makosa wewe huwezi kuyaona. Hili liko wazi mno kiongozi, huhitaji kusubiri mwisho.
utavishwa khanga mtoto wa kiume, acha kabisa tabia zako hizo!!Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie uchaguzi ujao.
Self-deceptive rationalisation.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie uchaguzi ujao.
This is called .self-deceptive rationalisation'.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie Uchaguzi ujao.
Good reasoning.Nch hii mko wachawi wengi sana. Elimu haiwasaidii? Toa evidence siyo kuongea kwa kukisia. You have hypothesis then prove with your evidence. Huna evidence usinongee; inabaki kuwa gabbage, metaphor
kumbe unahisi.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie Uchaguzi ujao.
Ungekuwa na hiyo orodha hoja yako ingeweza kusimama otherwise, inabakia kuwa hoja 'zoazoa'.Mimi nahisi majina yalipelekwa ila orodha ilikuwa kubwa kuliko idadi ya watu 19, kumbuka majina huwa yanazidishwa ili yakae kama akiba inapotokea mbunge amefariki basi anachomolewa anayefuatia toka pale walipoishia kuteuliwa hukohuko NEC bila chama kulazimika kupeleka jina upya; kumbuka alipofariki Regia aliteuliwa mwingine kutoka orodha iliyokuwepo NEC.
Ilitakiwa NEC wateue kuanzia namba 1 hadi 19 kwa kufuata series. Sasa nahisi baadhi ya hawa walioteuliwa hawakuwemo katika series ya 1 hadi 19 ila walikuwa baada ya namba 19. Inaonyesha Mdee alirekebisha series ya orodha kwa kuwachomoa baadhi waliokuwa ndani ya 19 na kuwaweka ambao walikuwa katika orodha lakini mbali i.e. baada ya namba 19. Hapa ndipo kiini cha mgogoro kati yao. Kwa maneno mengine wamezidiana kete.
Mgogoro utakwisha kwa baadhi kutolewa katika orodha na wengine wapya kuingizwa katika orodha ya namba 1 hadi 19. Win win situation
Sijui sasa ndio maana nimeuliza , swal nikihitaji jibuUmeona Nusrat tu?
1: Kwa hiyo serikali ndiyo ilimpendekeza mahabusu?
Usiwaamini wana siasa.
Hao kamati kuu ndio walienda kumtoa Nusrat Hanje ili akaape?Endelea kuota,hao akina Halima wajiunge tu CCM maana CDM ndio kwaheri hivyo!
Mimi nahisi Kuna la ziada hapa.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie Uchaguzi ujao.
Mimi nahisi Kuna la ziada hapa.Wakuu heshima kwenu...ukisikiliza press ya mbowe na ukisikiliza press ya Mdee hapa pana igizo la kanumba.
Nahiisi michezo umechezwa hivii Mbowe amebariki majina kimya kimya au Kamati Kuu imepitisha hayo majina kimya kimya wakayapeleka NEC kwa mujibu wa press ya NEC.
Sasa CHADEMA itaonekanaje kwa wanachama na Wananchi kwa ujumla kwa sababu wamesema hadhalani kuwa wanapinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu hivyo wangepitisha majina wasinge eleweka.
Kama kawaida Mbowe akamtuma Mdee alitibue kwa kwenda kuapa Bungeni baada ya hapo Kamati Kuu itawavua uwanachama, ila wale Wabunge watakata rufaa kwenda Baraza Kuu hapo Baraza Kuu litapinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Kwa upande mwingine watashinda wakina Halima Mdee hii italeta hoja mbili, moja itavumisha kuwa CHADEMA kunademokrasia ya ukweli, pili Mbowe na Kamati Kuu watakuwa wamejitoa kiaina kwa kusema Wanachama ndio wamebaliki.
Hivyo yaishe tuangalie Uchaguzi ujao.