Ukisikia urithi ndio huu; Mwananchi Kosovo ampa kura Hayati Magufuli badala ya wagombea waliokusudiwa

UKISIKIA URITHI NDO HUU

Tarehe 14/11/2021 kulikuwa na uchaguzi wa mzunguko wa pili wa Meya wa Prizren, ambao ni mji mkuu wa kihistoria wa nchi ya Kosovo. Katika uchaguzi huo wagombea wawili walioongoza kwenye matokeo ya mzunguko wa kwanza uliofanyika Oktoba 2021 walichuana ili kupata mshindi.

Shakir Totaj wa chama cha PDK aliibuka mshindi kwa 51.01% ya kura, akimbwaga mpinzani wake (ambaye ndo alikuwa Meya anayetetea kiti) bwana Mytaher Haskuka wa chama cha LVV, ambaye aliambulia 48.99% ya kura.

Ila aliyetia fora kwa sisi waTanzania ni mpiga kura aliyepiga kura hii:

View attachment 2012845

Hayati Dr. John Pombe Magufuli amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na sera yake ya kushughulikia tatizo la UVIKO. Sera ambayo imeonesha matokeo chanya kwa nchi ya Tanzania kuwa ni nchi pekee duniani ambako 99.99% ya raia walikuwa wanaishi kwa uhuru bila wasiwasi wowote kuhusu UVIKO na wanaendelea kufanya hivyo hata sasa.

Kwenye nchi za Ulaya (ambapo Kosovo ni mojawapo) suala la UVIKO limeambatana na ukosefu wa uhuru kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kutokana na jinsi serikali za bara hilo zilivyoamua kulishughulikia tatizo hilo.
Hii mada ndio kulinda regase? Uharo mtupu huu.
 
Kwanini Nkurunzinza na Gadafi hawakuenziwa? Hoja yetu siyo wote ila ni baadhi.
Kama ni wote jibu swali la hapo juu.
Gadaffi na Nkuruzinza walikua na crisis za genocide na western world so technically US wange veto hizo resolution za kuwaenzi and whatsoever.

Sasa JPM alikua na crisis gani ya level zao? But kukumbukwa ni karibu kila Rais anakua mourned so ain't a big deal.

Funny enough akipewa endorsement na mabeberu mnaona ni big deal ila wakimkosoa enzi zake mnasema ni mabeberu wana wivu?? Sasa which is which?
 
UKISIKIA URITHI NDO HUU

Tarehe 14/11/2021 kulikuwa na uchaguzi wa mzunguko wa pili wa Meya wa Prizren, ambao ni mji mkuu wa kihistoria wa nchi ya Kosovo. Katika uchaguzi huo wagombea wawili walioongoza kwenye matokeo ya mzunguko wa kwanza uliofanyika Oktoba 2021 walichuana ili kupata mshindi.

Shakir Totaj wa chama cha PDK aliibuka mshindi kwa 51.01% ya kura, akimbwaga mpinzani wake (ambaye ndo alikuwa Meya anayetetea kiti) bwana Mytaher Haskuka wa chama cha LVV, ambaye aliambulia 48.99% ya kura.

Ila aliyetia fora kwa sisi waTanzania ni mpiga kura aliyepiga kura hii:

View attachment 2012845

Hayati Dr. John Pombe Magufuli amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na sera yake ya kushughulikia tatizo la UVIKO. Sera ambayo imeonesha matokeo chanya kwa nchi ya Tanzania kuwa ni nchi pekee duniani ambako 99.99% ya raia walikuwa wanaishi kwa uhuru bila wasiwasi wowote kuhusu UVIKO na wanaendelea kufanya hivyo hata sasa.

Kwenye nchi za Ulaya (ambapo Kosovo ni mojawapo) suala la UVIKO limeambatana na ukosefu wa uhuru kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kutokana na jinsi serikali za bara hilo zilivyoamua kulishughulikia tatizo hilo.
Kwa hiyo atafufuka kesho?
 
Habari.

Kuna watu waliimba na kuhubiri,
Kusujudu na kurukaruka.
Kunywa bia na kuponda bata la kufa mtu kwamba kwa maisha yao yatakuwa bora mno baada ya Magufuli.

Leo ni miezi 8 bila Magufuli lakini kila wakigeuka huku hakuna umeme, wakigeuka hakuna maji ,wakigeuka huku mbolea lakini moja, wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye migodi ,wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye mitaa, wakigeuka huku Mungu wao yuko jela kwa ugaidi.

Leo ndiyo wamejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yao?
Jinga kabisa na bado mtaendelea kuwa watumwa hivyo hivyo.
Waliowadanganya wamtukane Magufuli wote wamepata mabwana Ulaya wanalishwa bure.

Malipo ni hapa hapa duniani.
Unasifia upumbavu wa kitanzania kukosa maji Ni sehemu ya upumbavu mkubwa na uwezo mdogo wa viongozi wa kitanzania wanaotumia ardhi kuwa Ni sehemu ya kuhifadhia mavi wanayokunya tu. Unakosaje maji na mito imejaa nchi nzima?.
 
UKISIKIA URITHI NDO HUU

Tarehe 14/11/2021 kulikuwa na uchaguzi wa mzunguko wa pili wa Meya wa Prizren, ambao ni mji mkuu wa kihistoria wa nchi ya Kosovo. Katika uchaguzi huo wagombea wawili walioongoza kwenye matokeo ya mzunguko wa kwanza uliofanyika Oktoba 2021 walichuana ili kupata mshindi.

Shakir Totaj wa chama cha PDK aliibuka mshindi kwa 51.01% ya kura, akimbwaga mpinzani wake (ambaye ndo alikuwa Meya anayetetea kiti) bwana Mytaher Haskuka wa chama cha LVV, ambaye aliambulia 48.99% ya kura.

Ila aliyetia fora kwa sisi waTanzania ni mpiga kura aliyepiga kura hii:

View attachment 2012845

Hayati Dr. John Pombe Magufuli amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na sera yake ya kushughulikia tatizo la UVIKO. Sera ambayo imeonesha matokeo chanya kwa nchi ya Tanzania kuwa ni nchi pekee duniani ambako 99.99% ya raia walikuwa wanaishi kwa uhuru bila wasiwasi wowote kuhusu UVIKO na wanaendelea kufanya hivyo hata sasa.

Kwenye nchi za Ulaya (ambapo Kosovo ni mojawapo) suala la UVIKO limeambatana na ukosefu wa uhuru kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kutokana na jinsi serikali za bara hilo zilivyoamua kulishughulikia tatizo hilo.

Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli
 
Gadaffi na Nkuruzinza walikua na crisis za genocide na western world so technically US wange veto hizo resolution za kuwaenzi and whatsoever.

Sasa JPM alikua na crisis gani ya level zao? But kukumbukwa ni karibu kila Rais anakua mourned so ain't a big deal.

Funny enough akipewa endorsement na mabeberu mnaona ni big deal ila wakimkosoa enzi zake mnasema ni mabeberu wana wivu?? Sasa which is which?
Si walimwita ni dikiteta,kumbe kwenye mioyo yao walijua ukweli kuwa ni jabali la kazi?
Vipi Lissu The Hague walimpuuza au? Vipi alivyozunguka Ulaya na Marekani walimpuuza kwani?
 
Si walimwita ni dikiteta,kumbe kwenye mioyo yao walijua ukweli kuwa ni jabali la kazi?
Vipi Lissu The Hague walimpuuza au? Vipi alivyozunguka Ulaya na Marekani walimpuuza kwani?
Hao walikua wana kesi za War crimes!! Hata Deby Itno alikua dikteta ila amefanyiwa commemoration coz at least licha ya udikteta hakufika level za war crimes kama hao wawili.

Anyway bottom line ni kwamba mabeberu walipokua wanamkosoa sera zake mlidai wanamuonea wivu ila wanapotoa obituary wanageuka MAJEMBE?? Huu unafiki wa CCM ni kwa faida ya nani?
 
Hao walikua wana kesi za War crimes!! Hata Deby Itno alikua dikteta ila amefanyiwa commemoration coz at least licha ya udikteta hakufika level za war crimes kama hao wawili.

Anyway bottom line ni kwamba mabeberu walipokua wanamkosoa sera zake mlidai wanamuonea wivu ila wanapotoa obituary wanageuka MAJEMBE?? Huu unafiki wa CCM ni kwa faida ya nani?
Walikataa Sera zake! data zikawaumbua...maana number doesn't lies.wao wenyewe wakatuambia tumeingia uchumi wa Kati miaka 5 kabla.
RIP Jabali la Afrika.
 
Back
Top Bottom