Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Ingelikuwa nchi zingine polisi wangetaka picha ifutwe na wahusika wapo lupango sasa hivi ata kama mama yako mzazi shitaka human right law; breach of privacy and dignity.
Huko ni kumdhalilisha marehemu yeye mwenyewe alitaka kupigwa picha akiwa anaondoka au ata kama yupo hai katika hali ile.
Wizara ya afya ipo na polisi wapo; lakini hakuna kitachofanywa kutoa somo kwa wengine wasithubutu upuuzi wa aina hiyo mbeleni.
Huko ni kumdhalilisha marehemu yeye mwenyewe alitaka kupigwa picha akiwa anaondoka au ata kama yupo hai katika hali ile.
Wizara ya afya ipo na polisi wapo; lakini hakuna kitachofanywa kutoa somo kwa wengine wasithubutu upuuzi wa aina hiyo mbeleni.