- Thread starter
- #41
😃😃😃 Hii kesi unayoitafuta utaipataAnafanana pia na yule RC wa Mbeya jina lake limenitoka.
😃😃😃 Hii kesi unayoitafuta utaipataAnafanana pia na yule RC wa Mbeya jina lake limenitoka.
Kuna watu wanaujasiri wa khali ya juu sana
Hivi unapata wapi nguvu za kupiga selfie ukiwa unatabasamu na mama yako aliye mgonjwa mahututi kiasi hiki na bado kafa unapost picha hiyohoyo mtandaoni.
Picha inajieleza kabisa mama anapambania uhai wake angalia sura za watoto
Angalia picha ambatanishi, ungekuwa wewe ungeweza?
Tujifunze matumizi sahihi ya mtandao
Mkuu, ID yako inanikumbusha mbali sana, yale maswali ya maths ya kuprove.Dah!..
Hiyo Ni shughuli ya manesi na doctors na ssio maadili hata ingekuwa hospital kumpiga mtu picha akiwa kwenye ku struggle kufarikiWhat if kama hapo ni hospitali?
Mkuu kuna ujasiri na upumbavu,huo ni upumbavu wa kiwango cha daraja la kwanzaYaani, mama yako kwenye hiyo hali unapata ujasiri huo?
kweli mkuu naunga mkono hoja.Mkuu kuna ujasiri na upumbavu,huo ni upumbavu wa kiwango cha daraja la kwanza
Kweli ndugu, hata kama ingekuwa ni hospitali.. hizo nguvu unapata wapi kumpiga selfie mama yako katika hali hiyoHiyo Ni shughuli ya manesi na doctors na ssio maadili hata ingekuwa hospital kumpiga mtu picha akiwa kwenye ku struggle kufariki
Kw hiyo walienda kutengeneza movie ya mama Yao akikata roho hospital? Huo ujasiri was kuwa Hadi na nguvu za kupiga picha mama Yao akiwa Hivyo waliutoa wapi?
Picture reading Ni kitu kidogo nyuso zao wote zimeelekezwa kwenye camera sio kwa mgonjwa wangekuwa Wana struggle na mgonjwa nyuso zao zote zinge face mgonjwa na zisingekuwa kavu Hivyo
Hata picha tu za mapenzi za I love you hu concentrate kwenye uso wa unauempenda sio kwenye camera ya mpiga picha sembuse hiyo ya mtu ana struggle kufa ? Unaonyeshaje upendo kwa misura mikavu hiyo iliyokodolea kamera badala ya huyo mama?
Fikiria hata mtu anaaga marehemu anamshika Halafu mimacho kakodolea kamera huku anasema marehemu I loved you you much!!!!
Hao wakamatwe kwa mauaji ya mama yao na ndugu wa upande wa wazazi pande zote wawavalie njuga Killers hao
Tunatofautiana mkuu
Mm hata kupiga sithubutu.Mimi hata picha za majeneza msbani siwezi kupost