Ukisikia mwizi mwizi kuwa makini unapoenda kutoa msaada

Tape measure

JF-Expert Member
Nov 26, 2015
1,972
3,511
Mungu ni mwema nimeokoa maisha ya mtu usiku wa leo.

Bila ya kupoteza muda kwa sasa ni msimu wa mvua kwa maeneo mengi ya kanda ya ziwa hasa Geita, Kagera, Mwanza na mara hali hii imekua fursa kwa wezi, vibaka na majambazi kuvamia maduka na makazi ya watu nyakati za usiku.

Usiku wa jana 20/11/2019 majira ya saa 7 kasoro usiku nikashtuka nasikia nje mvua ni kubwa sana. Kwa kua nakoishi kuna uhaba wa maji nikaamua kitoka nje kuweka pipa la maji nikarudi kulala.

Zikapita kama dakika 25 nikasikia filimbi na mayowe ya mwizi mwizi mwizi na baruti zinalipuliwa utadhani ni risasi lakini sio lengo wezi ni kuzidi kuogopesha jirani wasisogee ilikuwa ni nyumba ya jirani tu.

Baada ya kelele nyingi kuendelea kama dakika 7 Roho ikaniuma sana nikajiona nisipokwenda kutoa msaada jamaa atatolewa uhai nikajiweka sawa nikabeba silaha za jadi, panga na bonge la ubao wenye misumari na kutoka nje.

Nikamwamsha mpangaji mwenzangu ambae alikuwa mgumu sana tukaenda kutoa msaada huku mvua inaendelea.

Ni mwendo wa hatua 40 tu kukaribia eneo la tukio tukaona vijana 3 wakatuambia wezi wamekimbilia huku na wao wakakimbia kabla hatujawafikia.

Tungewafuata wangetugeuka na kutuumiza vibaya kwani wangekuwa 5 kwa 2 na wangetupeleka kwenye machimbo yao. Pia wakati tunaenda unaweza kusikia mwizi mwizi ukitoka wanakumaliza wewe wa kwanza kufika

Kumbe wao pia walikuwa ni miongoni mwa wezi wanalinda usalama barabarani ndio ilikua njia yao ya kukimbia.

Ghafla tukasikia mlio wa baruti umetokea ndani ya geti la yule jirani tukarudi nyuma kidogo. Ikumbukwe tulikua watu 2 tu ndio tumefika kwa tukio tukasubiria kama dakika moja hivi na kuendelea kupiga kelele wako wapi wako wapi hao wezi.

Ikumbukwe lengo la wezi kupiga baruti muda ule ilikua kutupumbaza kidogo kusudi waweze kuruka ukuta ndani ya geti na kukimbia.

Hiyo ndio ikawa pona ya jamaa kwani tulikuta mlango wake wa grili ulikuwa umepigwa kwa ukutani umebakia kidogo tu wafanikishe kuutoa waingie ndani ya duka lake alipokuwa amelala.

Hakika wasingemwacha salama kwani walikua wanatukanana we mbwa fungua tutakuua leo jamaa nae anawajibu mbovu sifungui huku anazidi kupiga mayowe ya msaada.

Mpaka tunaondoka eneo la tukio mishale ya saa 8 usiku hakukuwa na jirani yeyote ambaye alijitokeza.

Hili tukio la leo limeniumiza sana akili kama raia mwema nimewaza njia za kujikinga na wahuni kama hawa ni kuwamwagia tu tindikali wakati wako kwenye harakati za kuvunja mlango!!

Hii tindikali unaitengeneza kienyeji kwa waliosoma chemistry wanajua :) car battery ina 35% ya sulphuric acid unaweza kuifanya kuwa strong acid kwa kuondoa maji, hapa sijui sheria za nchi zinasemaje kuhusu kujitetea kwa kutengeneza silaha za namna hii.

Pia kuna zile simple smoke bombs ambazo zinatengenezwa na ammonium nitrate + diesel oil+ tnt kwa watu wa migodini wanaifahamu mlipuko wake sio mchezo.

Nimewaza hivi kwa kuwa hawa wezi wanapita kila nyumba na kuishia kujeruhi watu na wanaweza kutumia hata saa nzima wanavunja wanapaswa kuangamizwa na silaha kali kama ugonjwa wa Cancer.

Wenye mbinu mbadala leteni namna ya kuuwa hawa viumbe wamewahi kuniibia wakanirudisha nyuma kupita maelezo yaani madeni kila kona.

Hadi mtu unahisi ulienda shule kusomea ujinga elimu haikusaadii kupambana na mazingira unayoishi.
 
Umeandika lugha ngumu sana, sijui unamkomoa nani.... nimeelewa neno CANCER tu na Sulphuric Acid.
 
Maji ya betri au acid ni nzuri Sana kuharibu macho yao unayaspray kwao.Ngoja niende nikatafute acid kwa ajili ya wezi.Ipi Ina nguvu zaidi? Kuhusu TNT si taaribu nyumba au
 
Mungu ni mwema nimeokoa maisha ya mtu usiku wa leo
Bila ya kupoteza muda kwa sasa ni msimu wa mvua kwa maeneo mengi ya kanda ya ziwa hasa Geita, Kagera, Mwanza na mara hali hii imekua fursa kwa wezi, vibaka na majambazi kuvamia maduka na makazi ya watu nyakati za usiku.

Usiku wa jana 20/11/2019 majira ya saa 7 kasoro usiku nikashtuka nasikia nje mvua ni kubwa sana. Kwa kua nakoishi kuna uhaba wa maji nikaamua kitoka nje kuweka pipa la maji nikarudi kulala.

Zikapita kama dakika 25 nikasikia filimbi na mayowe ya mwizi mwizi mwizi na baruti zinalipuliwa utadhani ni risasi lakini sio lengo wezi ni kuzidi kuogopesha jirani wasisogee ilikua ni nyumba ya jirani tu baada ya kelele nyingi kuendelea kama dakika 7 Roho ikaniuma sana nikajiona nisipokwenda kutoa msaada jamaa atatolewa uhai nikajiweka sawa nikabeba silaha za jadi, panga na bonge la ubao wenye misumari na kutoka nje nikamwamsha mpangaji mwenzangu ambae alikua mgumu sana tukaenda kutoa msaada huku mvua inaendelea

Ni mwendo wa hatua 40 tu kukaribia eneo la tukio tukaona vijana 3 wakatuambia wezi wamekimbilia huku na wao wakakimbia kabla hatujawafikia. Tungewafata wangetugeuka na kutuumiza vibaya kwani wangekuwa 5 kwa 2 na wangetupeleka kwenye machimbo yao. Pia wakati tunaenda unaweza kusikia mwizi mwizi ukitoka wanakumaliza wewe wa kwanza kufika

Kumbe wao pia walikuwa ni miongoni mwa wezi wanalinda usalama barabarani ndio ilikua njia yao ya kukimbia. Ghafla tukasikia mlio wa baruti umetokea ndani ya geti la yule jirani tukarudi nyuma kidogo. Ikumbukwe tulikua watu 2 tu ndio tumefika kwa tukio tukasubiria kama dakika moja hivi na kuendelea kupiga kelele wako wapi wako wap hao wezi. Ikumbukwe lengo la wezi kupiga baruti muda ule ilikua kutupumbaza kidogo kusudi waweze kuruka ukuta ndani ya geti na kukimbia.

Hiyo ndio ikawa pona ya jamaa kwani tulikuta mlango wake wa grili ulikuwa umepigwa kwa ukutani umebakia kidogo tu wafanikishe kuutoa waingie ndani ya duka lake alipokuwa amelala hakika wasingemwacha salama kwani walikua wanatukanana we mbwa fungua tutakuua leo jamaa nae anawajibu mbovu sifungui huku anazidi kupiga mayowe ya msaada.

Mpaka tunaondoka eneo la tukio mishale ya saa 8 usiku hakukuwa na jirani yeyote ambaye alijitokeza.

Hili tukio la leo limeniumiza sana akili kama raia mwema nimewaza njia za kujikinga na wahuni kama hawa ni kuwamwagia tu tindikali wakati wako kwenye harakati za kuvunja mlango!!!!! Hii tindikali unaitengeneza kienyeji kwa waliosoma chemistry wanajua :) car battery ina 35% ya sulphuric acid unaweza kuifanya kuwa strong acid kwa kuondoa maji........hapa sijui sheria za nchi zinasemaje kuhusu kujitetea kwa kutengeneza silaha za namna hii. Pia kuna zile simple smoke bombs ambazo zinatengenezwa na ammonium nitrate + diesel oil+ tnt kwa watu wa migodini wanaifahamu mlipuko wake sio mchezo.

Nimewaza hivi kwa kuwa hawa wezi wanapita kila nyumba na kuishia kujeruhi watu na wanaweza kutumia hata saa nzima wanavunja wanapaswa kuangamizwa na silaha kali kama ugonjwa wa CANCER.

Wenye mbinu mbadala leteni namna ya kuuwa hawa viumbe wamewahi kuniibia wakanirudisha nyuma kupita maelezo yaani madeni kila kona.
Hadi mtu unahisi ulienda shule kusomea ujinga elimu haikusaadii kupambana na mazingira unayoishi.
Pole sana na hongera kwa kuonyesha ushujaa. Ile kutoka tu ni ushujaa tosha. Mimi nina maoni haya: Jipangeni muweke kikao (wewe unaweza kuwa kama coordinator) cha wana mtaa. Kikao kije na azimio la kuwa mara mmoja wenu akivamiwa basi wote mtoke kwa umoja. Pia peaneni namba za simu na ikiwezekana anzisheni group la whatsup. Jambo la kuwa na tahadhari ni kuwa hakikisha hao wezi hawatakuja kilipiza kisasi kwako wakiona wewe ndiye mhamasishaji mkuu wa kuwaondolewa ulaji wao. Laleni na silaha za jadi kama mishale, mikuki, mapanga na wenye uwezo wanunue silaha za moto. Pia anzisheni kampeni ya kuwatambua watu wote mnaohisi kuwa ni wezi na mnawawekee mitego maalumu. Bila kufanya hivyo mtawapa nguvu na watawasumbua sana. Wakijua mmoja wenu akipiga kelele hakuna wa kusaidia basi watakuwa huru kufanya unyama ambao hamtakuja kuusahau. Wezi siyo watu wa kuchekea, uwe na mali au hata ukiwa fukara.
 
Watu wanaoishi ktk nyumba kila mmoja awe na Filimbi yake standby kitandani kila siku!
 
Hii unaweka kidogo kwenye aluminum foil unachanganya na sukari + pottassium nitrate unawatupia kisha unawasha uzi yaani utasikia...ukunga kama vile mtu anatahiriwa bila ganzi
Maji ya betri au acid ni nzuri Sana kuharibu macho yao unayaspray kwao.Ngoja niende nikatafute acid kwa ajili ya wezi.Ipi Ina nguvu zaidi? Kuhusu TNT si taaribu nyumba au
 
Hii unaweka kidogo kwenye aluminum foil unachanganya na sukari + pottassium nitrate unawatupia kisha unawasha uzi yaani utasikia...ukunga kama vile mtu anatahiriwa bila ganzi
Hii nzuri ni kuiweka nje mlangoni standby huku uzi ukiwa ndani always kuwalipua vibaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom