Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,372
Wakuu,
Naomba Kufahamishwa;
Mosi,Iwapo Afisa fulani au mtu Fulani kutoka nchi yoyote ile mwanachama wa Mahakama ya kimataifa(ICC) iliyopo The Hague,Uholanzi ameshtakiwa na inatakiwa kufika mahakamani hapo je Gharama za kwenda huko nani analipa?
Tuchukulie mfano Afisa wa Polisi Tanzania anatakiwa kuhudhuria kesi Kule na hana nauli inakuwaje?
Nakumbuka hapo Kenya wale watuhumiwa walikuwa wanaitwa 'The Ocampo four' ambapo miongoni mwao alikuwepo Rutto na mtangazaji mmoja wa Redio ambao walikuwa wakihudhuri kesi na kurudi Je zile gharama zilikuwa zinalipwa na nani?
Pili,iwapo umekamatwa na kushikiliwa huko The Hague,Je gharama za mavazi nani anagharamia,tuchukulie Kiongozi wa waasi amakamatwa hakujiandaa akasafirishwa na ana mavazi yake aliyovaa tu,anapohudhuria Mahakamani,Je atavaa nguo hizohizo kila mara au kuna kuna utaratibu gani?
Naomba ufafanuzi.
Asante
Naomba Kufahamishwa;
Mosi,Iwapo Afisa fulani au mtu Fulani kutoka nchi yoyote ile mwanachama wa Mahakama ya kimataifa(ICC) iliyopo The Hague,Uholanzi ameshtakiwa na inatakiwa kufika mahakamani hapo je Gharama za kwenda huko nani analipa?
Tuchukulie mfano Afisa wa Polisi Tanzania anatakiwa kuhudhuria kesi Kule na hana nauli inakuwaje?
Nakumbuka hapo Kenya wale watuhumiwa walikuwa wanaitwa 'The Ocampo four' ambapo miongoni mwao alikuwepo Rutto na mtangazaji mmoja wa Redio ambao walikuwa wakihudhuri kesi na kurudi Je zile gharama zilikuwa zinalipwa na nani?
Pili,iwapo umekamatwa na kushikiliwa huko The Hague,Je gharama za mavazi nani anagharamia,tuchukulie Kiongozi wa waasi amakamatwa hakujiandaa akasafirishwa na ana mavazi yake aliyovaa tu,anapohudhuria Mahakamani,Je atavaa nguo hizohizo kila mara au kuna kuna utaratibu gani?
Naomba ufafanuzi.
Asante