Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ulabu una maajabu sana.Kunywa unywavyo lakini usizidishe saa 6 kamili usiku. Ukishazidisha hata dakika 1 tu ni lazima uamke na hang over bab'kubwa na maharufu ya pombe mdomoni.Mpaka jasho nalo linakuwa na kipombe pombe!
Namshukuru Mungu niliacha pombe.
Namshukuru Mungu niliacha pombe.