wakuu naomba kuwakilisha katika pitapita zangu,nimekutana na hii news...MWANAUME ALIEKUWA AKITUMIA ARV AOTA MATITI.,nikaafikiri ni ARV original au ndo jamaa alibungiaa za wife,za kutengeneza chakulaa cha mtoto aka manyonyo akizani ARV ndo yaka mkutaa hayaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.