Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
UKISHANGAA nguvu ya mafisadi kuhakikisha wanamuweka speaker atakayewalinda, UTAZIMIA ukisikia baraza la mawaziri. Kwa mwenye kusoma nyakati ameshajua kina nani watakuwa mawaziri, kina nani watakuwa wakuu wa mikoa,kina nani watakuwa wakuu wa wilaya na kinanani wataingia bungeni kwa kuteuliwa. Hapo kazi ni kulindana kulindana tu, ni kuhakikisha wanakula mpaka ukoko na kuficha wananchi wasijue wa kuruhusiwa kuyajadili.
Nani alaumiwa hapo?? Si sisi wenyewe tumewaruhusu watuongoze?? si wenyewe tumewapigia kura wakaingia bungeni watuibie vizuri??
Nchi imeshauzwa hii, ohoo ..hamkuona hata kura zao za moni walivyopitisha wenye uwezo wa kutoa rushwa zaid, na rushwa ikabarikiwa na kiongozi wao. Sasa hapo cha kushangaa ni nini hapo? kama tuliona kwenye kura za maoni mapemaa , lkn tukawachagua tena! Sasa TUTEGEMEE MAUMIVU ZAID YA JANA.
Wadau, hivi mnategemee mkuu atamlinda askari mwaminifu, wakati na yeye ni mtuhumiwa..ahaa wapi hilo haiwezekani. Atakachofanya ni kumpoteza kila anayengia kwenye anga zao. NA HAYO NDIO TUNAYOYAONA NA TUTAKAYOENDELA KUYAONA.
Nani alaumiwa hapo?? Si sisi wenyewe tumewaruhusu watuongoze?? si wenyewe tumewapigia kura wakaingia bungeni watuibie vizuri??
Nchi imeshauzwa hii, ohoo ..hamkuona hata kura zao za moni walivyopitisha wenye uwezo wa kutoa rushwa zaid, na rushwa ikabarikiwa na kiongozi wao. Sasa hapo cha kushangaa ni nini hapo? kama tuliona kwenye kura za maoni mapemaa , lkn tukawachagua tena! Sasa TUTEGEMEE MAUMIVU ZAID YA JANA.
Wadau, hivi mnategemee mkuu atamlinda askari mwaminifu, wakati na yeye ni mtuhumiwa..ahaa wapi hilo haiwezekani. Atakachofanya ni kumpoteza kila anayengia kwenye anga zao. NA HAYO NDIO TUNAYOYAONA NA TUTAKAYOENDELA KUYAONA.