toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,583
- 4,615
Una miaka kuanzia 20 na kuendelea na bado unategemea wazazi kwa asilimia 100 jitafakari sana wewe bila hivyo utaishia pabaya.
Nimesema asilimia 100 wapo wanaopambana wanategemea asilimia kadhaa tu na asilimia kadhaa wanajimudu hawa wana muelekeo nzuri.
Wapo wanaojimudu 100% kila kitu hawa ndo wanaoelekea pazuri.
Lakini una miaka kuanzia 20 mpk 35 unategemea kwenu nenda ukaombewe na ni aibu na kinyaa kukuta mtu nzima kijana una nguvu lakini unakula kwenu bure, kulala bure, kila kitu kwenu na huzalishi hata hamsini ujitafakari sana maana utaishia pabaya sana na maisha yako yatakua ya shida tu.
Kujitegemea kuanzia miaka 20 ni lazima kwa kila kijana hususan vijana kiume.
Nimesema asilimia 100 wapo wanaopambana wanategemea asilimia kadhaa tu na asilimia kadhaa wanajimudu hawa wana muelekeo nzuri.
Wapo wanaojimudu 100% kila kitu hawa ndo wanaoelekea pazuri.
Lakini una miaka kuanzia 20 mpk 35 unategemea kwenu nenda ukaombewe na ni aibu na kinyaa kukuta mtu nzima kijana una nguvu lakini unakula kwenu bure, kulala bure, kila kitu kwenu na huzalishi hata hamsini ujitafakari sana maana utaishia pabaya sana na maisha yako yatakua ya shida tu.
Kujitegemea kuanzia miaka 20 ni lazima kwa kila kijana hususan vijana kiume.