Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,015
Kwa mfumo wa elimu Tanzania sidhaniNitamuandaa mapema kiasi Cha kwamba hata nikimtoa home hawi janga katika Jamii.
Kwa mfumo wa elimu Tanzania sidhaniNitamuandaa mapema kiasi Cha kwamba hata nikimtoa home hawi janga katika Jamii.
HakikaMuhimu ni kumuwekea misingi bora ya kujitegemea.
Mwanangu hatasoma TanzaniaKwa mfumo wa elimu Tanzania sidhani
Another level ryt y2kMwanangu hatasoma Tanzania
Unajua mtu akisema, nataka mwanangu akifika umri fulani aanze kijitegema, hali ya kuwa hajamuwekea misingi thabiti, ni sawa na kupiga kelele tu.Mnataka kufananisha life style ya mbele na nchi zetu, bado tuna hatua za kupiga tufikie kiwango hicho cha kuwafanya vijana 20's wajitegeme, zaid zaid tutazalisha majambazi tukifosi
Unaongelea mtoto huyo atoke familia inayojiweza kimtindo, mara nyingi familia masikini watoto wenyewe binafsi maisha ndiyo yana washape kuwa na mfumo wa kujitegemeaUnajua mtu akisema, nataka mwanangu akifika umri fulani aanze kijitegema, hali ya kuwa hajamuwekea misingi thabiti, ni sawa na kupiga kelele tu.
Inabidi kijana aandaliwe kujitegemea.
Kiuhalisia hatatakiwi kuwafukuza , inatakiwa tuwatengenezee mazingira na kuwashauri kujitegemea na kuwajenga ili wawe na shauku ya kujitegemea na waondoke nyumbani wenyewe.Mwanangu akishafikisha 23 na anajielewa..nitamtoa kwangu hata kwa tarumbeta.
Unajua mtu akisema, nataka mwanangu akifika umri fulani aanze kijitegema, hali ya kuwa hajamuwekea misingi thabiti, ni sawa na kupiga kelele tu.
Inabidi kijana aandaliwe kujitegemea.
Hawa vijana wanataka vijana wenzao wazidi kuliwa na msongo, mtu ambaye bado ramani hazisomi akiona bandiko la hivi ni lazima apate sonona.Stephen Chelu.
Huwajui vijana wa mjini au upo nchi gani.?
hata akiwa wa kike?Mwanangu akishafikisha 23 na anajielewa..nitamtoa kwangu hata kwa tarumbeta.
Hawa vijana wanataka vijana wenzao wazidi kuliwa na msongo, mtu ambaye bado ramani hazisomi akiona bandiko la hivi ni lazima apate sonona.
Ulipata chumba?
Mwanangu hatasoma Tanzania