Ukisex na mwanamke aliyebreed kuna magonjwa utapata kwenye kibofu.

deecharity

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
931
502
Jaman hv ni kweli uksex na mwanamke aliyekwenye breed inamadhara makubwa kwenye uume? Je ni magonjwa gani hayo?
 
muwe waelewa hapo nimeuliza i mean kuna zile mko kwa bed mara wakuta imeanza ghafla. Kumbuka ile haidpend hadi cku zfke smtymc ht akpata strec yoyote znaanza.. Swali ni kuwa je ikitokea hyo hali wapata magonjwa?
 
Naam, kuna tani ya sababu ambapo naweza kusema Usifanye hivyo! Kimsingi, kwa uhalisi ni hakuna madhara lakini kuangalia hygienically, ngono wakati wa hedhi inaweza kufanya baadhi ya maambukizi kwa wanawake kama kwa mtu pia. Kuna sababu nyingi ni kwa nini ni kufanya ngono haifai kwa wakati wa hedhi. Kwanza, wanawake ni rahisi sana na wazi kwa maambukizi iwezekanavyo na magonjwa ya zinaa. Ni mara nyingi sana kwamba mwanamke ambaye alikuwa na ngono mara kwa mara katika kipindi cha hedhi anapata Pelvic inflammatory disease. Aidha, kwa ajili yangu, mbele ya damu giza, juu ya uume wangu inaweza nyanyapaa uzoefu wa kijinsia katika dunia!

pili localy kuna taboo zinazuia hii kitu kwa madai kuwa mwanaume ataugua sana na kukonda kiasi cha kufa (but haina uthibitisho) pili pia wanasema mwanamke akiitumia hiyo kuku dedisha waweza potea kabisa
 
Kwani usipofanya utakufa? Hata kufikiria kupata dozi katika hali ile huwa sitaki. Na kuna dada anayekubali akiwa kwenye hiyo habari kweli?
 
jaman hata haipendez kabisa kwa kipindi mwanamke akiwa kwenye hiyo hali.....
 
Jaman hv ni kweli uksex na mwanamke aliyekwenye breed inamadhara makubwa kwenye uume? Je ni magonjwa gani hayo?

Natumai umejibiwa swali lako...lakini ukitaka kiswanglish sema 'anableed', sio 'anabreed'. Ni vitu viwili tofauti.
 
THANKS FOR UR GOOD QNS.


mwanamke anayekuwa kwenye bleed huwa anatokwa na damu ukeni. damu hiyo huwa inatoka kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa hali ya kawaida hakuna maambukizi yoyote kwenye tumbo la uzazi. japo km huyo mwanamke ana maambukizi mengine km HIV basi iyo damu ina uwezekano mkubwa kuwa ina virusi na itakuwa rahisi kwa mwanaume kuambukizwa.

hata hivyo uwezekano mkubwa wa kuambukizana magonjwa mengine ya zinaa kama vile kaswende na gon unakuwa ni mkubwa ukilinganisha na km mke huyo hayupo kwenye bleed.

kwa hiyo basi, uwezekano wa mwanaume kupata UTI (yutiai) au maambukizi ya kibofu cha mkojo ni mdogo sana au haupo kwa mwanaume lakini uwezekano ni mkubwa kwa mwanamke.


kwa maelezo zaidi. napaiya@hotmail.com
 
Muwe waelewa wanajf, kuna wakati hata mimi nilikuwa nachapa tukijua siku za bleed bado na haikuwa imeonesha lakini wakati wa tendo tena naachia mzigo kucheki kitu imetoka na damu na nyingine kwenye shuka. Sasa je ina madhara?
 
huyu mwana JF anaomba ushauri naona wote mnamponda tu kuna kuzidiwa wakati mwingine, lakini upande wa pili we mwanamke una breed kwanini unamvulia mtu chupi.... kuwa na msimamo upende mwili wako, heshimu maumbile yako..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom