Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,703
Habari,
Watu ni binadamu wa ajabu sana. Hivyo jichunge sana na vitu unavyopost WhataApp, FB au Instagram, hasa mafanikio yako, ni kweli utapata likes nyingi na hongera lakini jua utakua umeanzisha vita kubwa, hasa kwa wale watu wanaokujua.
Shida n kuwa:-
1. Watu Wana wivu usione wanakupongeza
2. Watu HAWAPENDI watu wengine wafanikiwe wakat wao wanasugua Gaga
3. Watu n wanafiki watakuchekea kumbe imewa-Pain
4. Watu watatafuta namna ya kukushusha
5. Kila mmoja anataka kungara
Usalama wako ni kujiwekea mambo yako private.
Na UKIPOST vitu mtandaon post utumbo ili wajue wewe ni loser wasikupge vita.
Watu ni binadamu wa ajabu sana. Hivyo jichunge sana na vitu unavyopost WhataApp, FB au Instagram, hasa mafanikio yako, ni kweli utapata likes nyingi na hongera lakini jua utakua umeanzisha vita kubwa, hasa kwa wale watu wanaokujua.
Shida n kuwa:-
1. Watu Wana wivu usione wanakupongeza
2. Watu HAWAPENDI watu wengine wafanikiwe wakat wao wanasugua Gaga
3. Watu n wanafiki watakuchekea kumbe imewa-Pain
4. Watu watatafuta namna ya kukushusha
5. Kila mmoja anataka kungara
Usalama wako ni kujiwekea mambo yako private.
Na UKIPOST vitu mtandaon post utumbo ili wajue wewe ni loser wasikupge vita.