Mdau Makini
Member
- Sep 18, 2012
- 70
- 10
Wakuu kuna harufu mbaya Sana katika Barabara ya Morocco kwenda Posta zaidi maeneo ya DSTV kwa mbele,UPanga, mpaka Surrender Bridge pale!. Kutokana na harufu ile hata sipendi hata kupita ile njia!.Hivi ile harufu inatoka wapi wakuu??. Au nai experience mimi tu jamani??. Hivi serikali haiwezi kufanya ustaarabu wa kupunguza ile harufu jamani ili kuongeza hadhi ya jijii??.Naomba nipeni mawazo wakuuu!.