Ukipiga Simu Huku Unaendesha Gari Unatozwa 200,000 Hapo Kwa Hapo.

polisi wetu wamenehemeshwa,damm, jamaa wanabambikia watu kesi ambazo si zao, mwizi wa kuku unakuta anafungwa kwa kukamatwa na bangi na kizibiti kinakuwepo,sasa itakuwa hole wetu wenye simu,yani anakusimamisha anakwambia nipe hela amekuta umepiga ama la ni juu yako wewe,ukibisha unaenda kituoni, kituoni kunajulikana, kuingia bure kutoka kwa hela.
 
Kuna miji mingi katika nchi za magharibi haziruhusu hata kutumia ear phones. Ni uamuzi mzuri ili kupunguza ajali, lakini utatumika kuongeza rushwa.[/QUOTE]

Mukhi! ulilosema n ni kweli ... lakini hebu tujiulize kwa Tz ni ajali ngapi zimesababishwa na madereva wanaoongea kwa simu? Kuna very basic things ambazo walitakiwa wayashuhulikie kwanza kabla ya kuingiza mambo yatakayosababisha usumbufu badala ya kutatua matatizo. Katika maisha malengo ni muhimu na sio wakurupuke tu.....
 
Ni sheria nzuri sana, Ila kwenye kutekeleza ndio itakuwa shughuli, Cha muhimu wafunge CCTV barabarani au polisi kabla ya kumtia mtu hatiani ampige picha na kumpatia hapo hapo nakala yake na kumpa vocha akalipie TRA, vinginevyo itakuwa rushwa opportunity kwa traffic polices.

Ni kweli kupiga simu huku unaendesha ni hatari sana ila kwa TZ bado hatujafikia kwenye hatua ya kutoza kiasi kikubwa hivyo cha faini za barabarani, kwani RUSHWA itakithiri. Waanze kufunga camera za barabarani au waajiri Askari wataalam wa kupiga picha madereva ili kuwavizia madereva, vinginevyo wengi watabambikiwa kesi za kupiga simu huku wanaendesha bila ushahidi.
 
Hivi wanafikiri watanzania wote ni mafisadi, kiasi kwamba ni rahisi kupata kiwango hicho kirahisi?

Inatakiwa watoe statistics hili tuweze kuona kama kweli kuna uhusiano kati ya ajari na upigaji wa simu.

Hawatajali una kiwango au huna..ukishindwa kulipa basi mtakutana mahakamani..na zitakutoka tu. Ila huko mahakamani ushahidi wa kuongea na simu..labda watakupiga picha kabla ya kukusimamisha..vinginevyo it will be ur word against theirs.Sheria nyingine!
 
Hili la kuendesha gari huku concetration iko kwenye simu ni kosa na ni lazima kuweka ban. Hii ninaikubali kwa asilimia 100% maana si kama unapokea simu simama uzungumze na ukimaliza uendelee? Kama una haraka sana katisha mazungumzo na mwambie aliyekupigia akupigie ukisha fika mwisho wa safari?
Najua kuna argument kwamba ni ajali ngapi zimetokea! lakini tujue ndugu zaangu Polisi si lazima waweke sheria kwa wingi wa kesi, bali kwa ajili ya usalama hata kama ni wa mtu mmoja.
Lakini kwa upande wa faini kusema ukweli naona ni kuubwa na hakuna atakayeweza kulipa labda mafisadi. Waipunguze. Kuweka faini kubwa hakujawahi kufanya utendaji makosa kuishe.
 
Majira
Na Rehema Mwakasese.

Jeshi la Polisi nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani, limepiga marufuku madereva kupokea simu au kupiga simu wakati wakiendesha magari na watakao bainika kufanya hivyo watatozwa faini ya sh, 200,000/= papo hapo.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Kikosi cha usalama wa Barabarani , Bw. James Kombe, alisema zipo sababu nyingi zinazosababisha ajali barabarani ikiwemo madereva kupokea au kupiga simu wanapoendesha magari.

Kwa hiyo passenger akipiga au kupokea simu akanipasia mimi dereva nina kosa?

Ni kupiga na kupokea simu au ni kutumia simu?

Between the crummy gazeti na huyo Kamanda wa polisi mantiki ya Kiswahili chenyewe inawashinda. Bongo unaweza kuongea vyovyote vile, usahihi wa kauli sio muhimu.

Wasije wakakutana na mtu kama mimi Mahakamani na visheria vinavyotangazwa kwa lugha mdosho mdosho kama hivi.
 
Mimi huwa siongei na simu wakati naendesha kwa nimegundua uwezo wa kupay attention kwa yanayotokea barababani hupungua sana na kuna ajali nyingi mbaya sana nchi mbali mbali duniani zimesababishwa na wale waliokuwa wanaongea na simu huku wanaendesha au kutuma text message. Tukumbuke makosa ya sekunde chache tu kama unaendesha yanaweza yakawa na madhara kubwa sana.

Pia huwakimbia haraka sana wale waliokuwa jirani yangu kama nikigundua wanaongea na simu ndiyo maana naunga mkono uamuzi huu, lakini kwa bongo hii itakuwa ni kuwatajirisha matraffick polisi. Wenye uwezo wa kulipa shilingi 200,000 ni wachache mno na hata hao 'wanaojiweza' hawatakuwa tayari kuzilipa hivyo hizo shilingi elfu tano labda mpaka elfu ishirini zitaishia mifukoni mwa manjagu vinaa.
 
Kuna miji mingi katika nchi za magharibi haziruhusu hata kutumia ear phones. Ni uamuzi mzuri ili kupunguza ajali, lakini utatumika kuongeza rushwa.

Haya mambo hayaamuliwi baada ya Kamanda wa Usalama barabarani akiwa anatoka bafuni. Hii inatakiwa iundiwe muswada na kupelekwa bungeni. Kisha Rais anasaini kuwa sheria na si mtu anaamka na kutafuta njia ya mlo. Ni kweli ajali zimekuwa nyingi Bongo lakini hii si sababu ya mtu kuzinduka toka chooni na ku-estimate kiwango cha faini eti laki 2.
 
wapumbavu wakubwa hawa,naona wanataka kujitengenezea rushwa tuu hapo,tangu lini Polisi wakatunga sheria? ....kuna utaratibu wa kutunga na kupitisha sheria sio huu uwendawazimu!

Achilia mbali hayo ya upumbavu wa polisi, fikiria tu je utajisikia vipi kama utaua mtu kwasababu ulikuwa unaongea kwenye simu huku unaendesha gari?

Mambo mengine cha kuangalia si adhabu unayoweza kupewa bali majuto ambayo unaweza kuyapata na kusababisha kwa familia zingine kwa kushindwa kufuata sheria. Unaweza kupata hizo pesa na kulipa faini, lakini ukiua mtu, familia watakuwa wamepoteza ndugu maisha yao yote.
 
Mtanzania,

Lilikuwa ni suala la kuelimisha watu na sio kuwatungia sheria isiyo na meno!
 
Kuna miji mingi katika nchi za magharibi haziruhusu hata kutumia ear phones. Ni uamuzi mzuri ili kupunguza ajali, lakini utatumika kuongeza rushwa.[/QUOTE]

Mukhi! ulilosema n ni kweli ... lakini hebu tujiulize kwa Tz ni ajali ngapi zimesababishwa na madereva wanaoongea kwa simu? Kuna very basic things ambazo walitakiwa wayashuhulikie kwanza kabla ya kuingiza mambo yatakayosababisha usumbufu badala ya kutatua matatizo. Katika maisha malengo ni muhimu na sio wakurupuke tu.....

Mimi kwa maoni yangu siyo swala la kukurupuka hili. Maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kabisa kupunguza ajali za barabarani inabidi siku zote yapongezwe. Katika nchi za magharibi, makampuni ya simu yalifanya kampeni kubwa sana na kutumia mapesa mengi ili kupinga hili la watu kutoruhusiwa kuongea na simu au kutuma text messages wakati wanaendesha lakini utafiti mkubwa uliofanywa katika nchi mbali mbali ulihitimisha kwamba mtu anayeongea na simu uwezo wake wa kupay attention barabarani unapungua sana na wakati mwingine ulikuwa sawa sawa na mlevi aliyepata kinywaji. Tatizo langu ni jinsi ya kuzikusanya hizo faini bila kuongezeka rushwa ndani ya polisi.
 
Sijui kama hawa polisi wana justification yoyote ya kutumia hicho kiwango cha laki 2 kama faini ya kosa hilo. Japokuwa sheria hii ni nzuri sana lakini kiasi hiki ni kikubwa sana na ni watu wachache sana wataweza kulipa kama watakamatwa na hii inatoa mwanya mkubwa wa rushwa. Napata hisia kwamba kuna 'mnene' huko serekalini amepata deal ya 'hands free kit' na anataka kulazimisha kwa vitisho ili kila mwenye gari anunue vifaa hivyo.
Suala la magari ya abiri kuendeshwa hadi saa nne usiku bado inabidi serekali ilitupie macho. Tunapaswa tuelekee kwenye stage ambayo magari haya yataruhusiwa kutembea kwa masaa 24, utaratibu uliopo sasa unachangia kupunguza pato la taifa, uchumi nao unalala! Wafanyabiashara, lets say wa Moshi- Arusha wangekuwa na uwezo wa kwenda Dar na kurudi within a day. Kwa serekali kutoruhusu magari kutembea usiku kwa kuogopa ujambazi ni sawa kabisa na ku admit failure, naamini kabisa polisi wanaweza wakabuni utaratibu mzuri ambao utahakikisha abiria wanakuwa salama kwenye safari zao regardless of weather ni mchana au usiku.
 
Sijui kama hawa polisi wana justification yoyote ya kutumia hicho kiwango cha laki 2 kama faini ya kosa hilo. Japokuwa sheria hii ni nzuri sana lakini kiasi hiki ni kikubwa sana na ni watu wachache sana wataweza kulipa kama watakamatwa na hii inatoa mwanya mkubwa wa rushwa. Napata hisia kwamba kuna 'mnene' huko serekalini amepata deal ya 'hands free kit' na anataka kulazimisha kwa vitisho ili kila mwenye gari anunue vifaa hivyo.
Suala la magari ya abiri kuendeshwa hadi saa nne usiku bado inabidi serekali ilitupie macho. Tunapaswa tuelekee kwenye stage ambayo magari haya yataruhusiwa kutembea kwa masaa 24, utaratibu uliopo sasa unachangia kupunguza pato la taifa, uchumi nao unalala! Wafanyabiashara, lets say wa Moshi- Arusha wangekuwa na uwezo wa kwenda Dar na kurudi within a day. Kwa serekali kutoruhusu magari kutembea usiku kwa kuogopa ujambazi ni sawa kabisa na ku admit failure, naamini kabisa polisi wanaweza wakabuni utaratibu mzuri ambao utahakikisha abiria wanakuwa salama kwenye safari zao regardless of weather ni mchana au usiku.

KKN wewe unapendekeza faini iwe kiasi gani? Mimi nadhani labda iwe 40,000.
 
Kama kuna vitu Watanzania tunapenda kujifanyia kirahisi rahisi na kwa kukurupuka ni hili tamko la Polisi.

Ni wazo zuri sana, lakini halina nguvu kisheria kwa kuwa Polisi hawatungi Sheria.

Je Kombe na wenzake wanatumia sheria za mamlaka gani? ni za Sumatra au ni Wizara ya mambo ya ndani na Usalama wa Raia?

Je sheria na faini hizi zimepitishwa na mamlaka gani? je zimechapwa katika gazeti la Serikali kuonyesha kuwa hii ni sheria mpya ya Usalama Barabarani?

Je mahakama imeshirikishwa na kupelekewa Sheria mpya? kama ni jambo la kujiamulia na mimi nikakataa kuitii kwa kuwa si sheria, je Polisi wana nguvu gani kunikamata au kunishitaki?
Tusishangilie mambo kiholela ikiwa mkondo mzima wa Sheria na Kanuni vinaelekea havijafuatwa.
 
Poll: Ban Cell Phones While Driving
By Robert Roy Britt, LiveScience Managing Editor

posted: 27 May 2006 11:55 am ET

A new survey finds two-thirds of Americans would support a law banning cell phone use while driving.

Fewer than half, however, wish to make them illegal in restaurants and movie theaters.

The poll of 849 adults, of which 69 percent owned cell phones, was conducted in March and announced this week. While 29 percent of respondents said they did not want such a law, 65 percent said states should ban drivers from talking on cell phones.

Previous studies have suggested cell phones cause accidents that kill thousands of people every year and create traffic jams. Even hands-free phone use has been shown to slow driver reaction times. Study leader Michael Traugott of the University of Michigan said the poll results show that people understand these risks.

"I think this is a reflection of inherent concerns about driving safety, as well as the concern about accidents due to cell phone use," Traugott told LiveScience.

Some 60 percent of those surveyed said they would maintain the ban on cell phone use in airplanes. Whether they owned a cell phone or not, the respondents were equally likely to support that ban.

"The concern about cell phone use in planes may relate to the fact that it is an enclosed space and people can't walk away from loud conversations in a way they can on land," Traugott said.

Cell phone use in public places was said to have irritated 60 percent of the respondents, but only 43 percent support banning cell phone conversations in places such as restaurants, theaters or museums.

"The support for the use of cell phones in public places, despite the irritation, comes primarily from cell phone owners," Traugott said. "They seem reluctant to impose restraints on their own behavior."

The poll also showed that younger adults were more likely to support the use of cell phones in public places and while driving.

A separate survey released in April by the Pew Research Center found that 28 percent of cell phone owners admit to sometimes not driving as safely as they should while using mobile devices. In that poll, 81 percent of those who own cell phones said they were irritated at least occasionally by loud and annoying cell users in public places.
 
Sijui kama Kombe anaelewa anachokifanya! Huwezi kuanza kupiga watu faini bila kosa hilo kuwekwa na sheria! Hizi ni zama za utawala wa sheria bwana. Polisi waende na muswada Bungeni ili kuongea na simu ukiwa unaendesha gari kutamkwe bayana kuwa kosa la jinai. Atakutana na wajuaji na kuishia mahakamani akidaiwa fidia! Kalaghabhao!
 
Drivers on Cell Phones Kill Thousands, Snarl TrafficBy Robert Roy Britt, LiveScience Senior Writer

posted: 01 February 2005 01:52 pm ET

Finally, empirical proof you can blame chatty 20-somethings for stop-and-go traffic on the way to work.

A new study confirms that the reaction time of cell phone users slows dramatically, increasing the risk of accidents and tying up traffic in general, and when young adults use cell phones while driving, they're as bad as sleepy septuagenarians.

"If you put a 20-year-old driver behind the wheel with a cell phone, their reaction times are the same as a 70-year-old driver who is not using a cell phone," said University of Utah psychology professor David Strayer. "It's like instantly aging a large number of drivers."

The study was announced today and is detailed in winter issue of the quarterly journal Human Factors.

Traffic jams and death

Cell phone distraction causes 2,600 deaths and 330,000 injuries in the United States every year, according to the journal's publisher, the Human Factors and Ergonomics Society.

Drivers talking on cell phones were 18 percent slower to react to brake lights, the new study found. In a minor bright note, they also kept a 12 percent greater following distance. But they also took 17 percent longer to regain the speed they lost when they braked. That frustrates everyone.

"Once drivers on cell phones hit the brakes, it takes them longer to get back into the normal flow of traffic," Strayer said. "The net result is they are impeding the overall flow of traffic."

Strayer and his colleagues have been down this road before. In 2001, they found that even hands-free cell phone use distracted drivers. In 2003 they revealed a reason: Drivers look but don't see, because they're distracted by the conversation. The scientists also found previously that chatty motorists are less adept than drunken drivers with blood alcohol levels exceeding 0.08.

Separate research last year at University of Illinois at Urbana-Champaign supported the conclusion that hands-free cell phone use causes driver distraction.

"With younger adults, everything got worse," said Arthur Kramer, who led the Illinois study. "Both young adults and older adults tended to show deficits in performance. They made more errors in detecting important changes and they took longer to react to the changes."

The impaired reactions involved seconds, not just fractions of a second, so stopping distances increased by car-lengths.

Older drivers more cautious

The latest study used high-tech simulators. It included people aged 18 to 25 and another group aged 65 to 74. Elderly drivers were slower to react when talking on the phone, too.

The simulations uncovered a twofold increase in the number of rear-end collisions by drivers using cell phones.

Older drivers seem to be more cautious overall, however.

"Older drivers were slightly less likely to get into accidents than younger drivers," Strayer said. "They tend to have a greater following distance. Their reactions are impaired, but they are driving so cautiously they were less likely to smash into somebody." But in real life, he added, older drivers are significantly more likely to be rear-ended because of their slow speed.

Other studies in the journal found:

Telephone numbers presented by automated voice systems compete for drivers' attention to a far greater extent than when the driver sees the same information presented on a display.
Interruptions to driving, such as answering a call, are likely to be more dangerous if they occur during maneuvers like merging to exit a freeway.
Things could get worse. Wireless Internet, speech recognition systems and e-mail could all be even more distracting.
 
Back
Top Bottom