mmesahau Simiyu Yetu jamani kwaaaaa..................................
Hakikisha hao security wawe wanawake kwa ajili ya kuimarisha usalama...
Karibuni sana...makabidhiano yatafanyika Sinza katika gest ya Bao Buku...mishale ya saa sita mchana......Ni wanawake imara kabisa
Kanuni yangu ni kutotaka tuzo wala kuogopa tusi. Daima kuwa mkweli kwa nafsi yangu.
Ishmael is a piece of foul mouthed individual who does not have the requisite culture to engage in debate with me.
Mimi sitaki shida za ujinga wa watu wanaotukana matusi ya nguoni.
Ishmael kanitukana na mpaka atakaponiomba msamaha na kuahidi kutorudia hana privilege ya kujibishana na mimi.
Watu wasio na ustaarabu nawapiga ignore list tu.
The ignore list is there for a reason, to be used. It is not ornamental.
Matola ........
mtoa threads ni mgeni humu ukiangalia profile yake amepataje kujua hayo kama siyo muongo
Jukwaa la siasa pasco,elimu mpigamsuli,perry,sheria- Pietro.e.mselewa,mapenzi- lara 1,jukwaa la wakubwa - asakuta same& madame b,intelligence - kiranga,