Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

Huyo Mama wakati anapanua hayo mapaja yake, Si alijua kwamba yeye ni maskini?

Sasa kwa nini azae mtoto aje amtese juani akizungusha maandazi?

Maskini wanazaa watoto bila reasoning ndio maana wanakuja kutesa watoto tu.

Halafu wanakuja kutaka huruma.

Kumbe ni upumbavu wao tu!.
Ni Sawa kufikiri hivyo ila huenda amekimbiwa na mumewe au aliempa mimba amafariki kuna Sababu nyingi za huyu mama kutembea juani akiuza biashara na mtoto mgongoni,Punguza ufala
 
Siku mojamoja jitahidi uwe unaenda kula kwa hawa akina mama wanaobangaiza,utabarikiwa zaidi na zaidi, unakuta mama wa watu anaamka saa 11alfajili,anaanza kuchemsha chai,huku anachoma vitumbua na chapati,hapohapo anahudumia wateja, ni wanapitia tabu sana,hivyo ukienda kula maramoja japo najua sio hadhi yako utabarikiwa sana,madhira wanayopitia ni mengi mno, anawahi kuamka,anachelewa kulala. MCHANGIE MAMA NTILIE LEO UBARIKIWE KATIKA KAZI ZAKO. Aslam Aleykum.
Chapati za kubabua Zina radha yake kwakweli 🤗
 
Kwani unadhani wengi wa wanajf wanakula wapi mkuu? Unadhani wote wanakula huko mahoteli ya matawi?
 
Unajua nini ile life ya mpe kampa tena ndio msingi wa kusavaivu

Sema binadamu wa sikuhizi wabishi sana
 
Ni Sawa kufikiri hivyo ila huenda amekimbiwa na mumewe au aliempa mimba amafariki kuna Sababu nyingi za huyu mama kutembea juani akiuza biashara na mtoto mgongoni,Punguza ufala
Mpaka mwanaume amkimbie mkewe, ujue huyo mwanamke ni moto wa kuotea mbali.

Kwenye haya maisha usipofanya reasoning ya uhakika kwenye kila jambo, Lolote litakalo tokea, wakujilaumu ni wewe mwenyewe.

Huruma na baraka havipogo.

Tatizo la waafrika wanaishi ishi tu bila tathimini ya kina kwenye maisha yao. Wanasema wanaishi kwa "Kudra" za Mnyaazi Mungu.

Hawataki kuwa responsible kwenye maisha yao.
 
Kwani unadhani wengi wa wanajf wanakula wapi mkuu? Unadhani wote wanakula huko mahoteli ya matawi?
si unajua humu jf hakuna masikini? Wote tunatembea huku tumekaa,v8 ndio magari yetu,so nimeona tukumbushane matajiri. Unaweza kuta hata Mbaga Jr anajisema nae ni tajiri.
 
Acha walipe gharama.

Hao wa Mama enzi za usichana wao walisharinga sana na kufanya vimbwanga vya kutosha.

Sasa ni muda wa maisha kuwanyoosha.

Hakuna uhusiano wowote wa chakula na Baraka.

Baraka ni illusions tu.
Faza mauji katika ubora wako
 
binafsi napendelea kupata huduma za chai asubuhi, chakula cha mchana au jioni kwa maafisa lishe mtaani, sio kwasababu nawaonea huruma au nawachangia chochote, lahasha,

nakula na kunywa kwa maafisa lishe kwasababu ndio chimbuko la maisha yangu tangu nakua hadi nilipo hivi sasa 🐒
Kwa 7000 unayolipwa ukisema upike haitoshi gentleman!!!

Bora kula kwa mama ntilie.

BTW hata mie nakulaga kwa hawa watu, lakini sometimes kwa machale.

Nikifika eneo nikakuta wameongozana mama ntilie wengi huwa sili

U know why!!!

Mentality ya mwanamke ni kurogana tu, hivyo asilimia 90 ya mama ntilie wanaopika eneo moja kwa wingi wanakua wameenda kwa waganga.

Na waganga mara zote hutoa maagizo ya uchafu uchafu tu, anaweza kuambiwa chakula anachopika labda achanganye na damu ya mwezi kidogo na yeye akija anachanganya.

Mwisho wa siku mlaji ndio unaishia kulishwa uchafu bila kujua
 
Huruma kwa hapa town mbona ni mradi huo.
Lissu anapambana kuwakomboa watanzania. Lakini hana hata support.

Hawa Mama Ntilie wakisha hongwa kanga, T-shirts na vihela kidogo ndio wa kwanza kupayuka Mama mitano tenaa! CCM mbele kwa mbeleeee!!

Halafu maisha yakiwapiga, wanataka huruma.

Aisee kwenye haya maisha hakuna huruma kwa watu wajinga.

Acha maisha yawatwange kisawasawa. Hadi akili ziwakae sawa.
 
Kula na baraka ni vitu viwili tofauti.

Labda mtu aamue kula kwa kupenda kwake na kwa hiari yake mwenyewe.

Si kwamba mtu akila atapata baraka.

Hakunaga baraka kwenye haya maisha.
You fun of Keir Ansell??🤔
 
Kaka Mimi nakula Sana hizi sehemu,kama nilikuwa na Rais Magufuli zaidi ya mara kumi nisingenunua msosi WA buku mbili, MUNGU bariki mamantilie
 
Back
Top Bottom