Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,672
- 13,067
Ni kweli ila huko kuua wanaume tuwaachie wanawake wa Kichagga, wapare, wakurya, na wanyakyusa.
Mkuu nimeoa uchagani, please slow slow mana unanikosesha amani
Ni kweli ila huko kuua wanaume tuwaachie wanawake wa Kichagga, wapare, wakurya, na wanyakyusa.
Mkuu nimeoa uchagani, please slow slow mana unanikosesha amani
Mkuu ndoa tayar?Tatizo ni kwamba, kama vile wewe usivyo mkamilifu, hutopata mwanamke mkamilifu hata siku moja. Anaweza kuwa wazi kwako kwa kila kitu, mnachanga na kujiletea maendeleo vizuri tu, mnajienga lakini ukashangaa mke ni very controlling, yaani we kidume huna say kwa mkeo.
Its very unfortunate that you won't get a perfect match, coz you're not perfect.
Nafkir hujaoa maranguMkuu nimeoa uchagani, please slow slow mana unanikosesha amani
N hatar sana Hawa dada zang n kamaUmekwisha mkuu, kama una uwezo anakuvizia tu akisubiri siku ya siku. Pole in advance.
N hatar sana Hawa dada zang n kama
Wakikuyu wa huko Kenya yan hawana
Huruma kabsa wanakuzka mzma mzma
Mimi naona hata mwanaume pia is undefined...kweli tena.Mwanamke ni undefined haujapata kuona wewe prove mwenyewe utaona.
Teh, tayari mkuu. Ila kuna option ya kuongeza wa pili.Mkuu ndoa tayar?
Sidhani kama kuwa bora ndio guarantee ya kupata mke mwema, honesty is very priceless these days!Ili upate mwanamke wa hivyo lazima na wewe uwe bora.
Wa hivyo wengi hupendelea ndugu zao tu. Wa ukweni hawawataki kabisa, watalishwa marage hadi wakomeNdugu wa nini sasa nyumbani?
Kama ni kusalimia waje na kuondoka! Kama ni Msaada wasaidieni wakiwa huko huko kwao.
Lkn pia kama yeye mwanamke hataki ndugu wa mwanaume na yeye nduguze wasije kabisa.
Huo ni ufala na huyo sio mwanamke wa kuowaKuna ndugu yangu ana mwanamke ambae wanashirikiana vizuri sana kwenye maendeleo tena mke akipata ela yoyote lazima amletee mume wake ili wakafanyie maendeleo,Na wamejenga majumba,ila anatatizo Moja kwamba hapendi ndugu wa mwanamume kabisa hadi wazazi Na hataki hata hao ndugu kukanyaga kwao Na hata Msaada mwanaume hutoa Msaada kwao kisiri!!
factIli upate mwanamke wa hivyo lazima na wewe uwe bora.
factTatizo ni kwamba, kama vile wewe usivyo mkamilifu, hutopata mwanamke mkamilifu hata siku moja. Anaweza kuwa wazi kwako kwa kila kitu, mnachanga na kujiletea maendeleo vizuri tu, mnajienga lakini ukashangaa mke ni very controlling, yaani we kidume huna say kwa mkeo.
Its very unfortunate that you won't get a perfect match, coz you're not perfect.
Wote lazima muwe wakweli. Sio mmoja awe mkweli zaidi na mwingine achanganye na uongo. Suala la ndoa ni complicated, ukiona mwenzako ana mapungufu fulani itoshe tu kusema kuwa nawewe unayo mengine ila anakuvumilia tu. Kwa vyovyote vile ni muhimu sana kuvumilianaSidhani kama kuwa bora ndio guarantee ya kupata mke mwema, honesty is very priceless these days!
Kupata mke mwema lazma huyo mke awe mkweli tangu awali na sikuhizi wengi hufake mwanzo ili wavae shela tu. Akishakuwa na pete baada ya mtoto wa kwanza tu anakufunulia makucha yake, unagundua kumbe ulioa msaliti, mnafiki, mchoyo na mshenzi utafanyaje hapo hata kama kidume uko njema?
Nachokiona wote Me na Ke ni lazma muwe wakweli ila mwanamke ni muhimu zaidi kuwa mkweli ili ndoa isiwe ya mateso.
Mkithaminiwa mnajifanya vifua mbele michepuko isiyoisha, mwarudi usiku wa manane na kazini mmetoka 3:30pm, hamuulizwi kitu mikosea nyie ni Miungu watu, hamuombi radhi wala!Wanaume wenzangu na mie, Ukipata Mke mwaminifu, mnayeshirikiana kwenye Malezi vyema, Asiyekuwa mshirikina, anayeamini katika maendeleo hata kama hana sura, wewe mthamini sana.... sana...... sana..... sana.... Hata kama haleti kipato, sawa sawa tu, mthamini sana. Mwanamke anaweza kugeuza maisha yako yakawa living hell kabisa. Mwanamke ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kuharibu maisha ya mtu, so ni muhimu sana kuwa makini wakati wa kuoa na kama umeoa mwanamke mwema mthamini sana sana sana..... Sie wanaume tunawaitaji wanawake as we get older than they need us!!!!!
Na nyie Dada zetu, thaminini hawa wanaume pia, maana yake, twaweza pata pesa, tukajijenga vizuri, ila sijui mwaingiwa na pepo gani, watoto wakikuwa mnaanza kututenga nao na kutamani kujitegemea, mwisho waka hata mna attempt kutuua, yani mimi sijui wanawaka mna tabu gani, the more mnakuwa the less mnaituitaji, but the more we get older the more we need you..... NI CHANGAMOTO KUBWA SANA,!