Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Mungu anapoamua jambo liwe binadamu hana uwezo wa kulizuia . Enzi zile za michuano ya kugombea urais wa Marekani kati ya Hillary Clinton na Obama, ingawa wote walitoka chama kimoja lakini Hillary alitumia nguvu zake zote kumuangusha Obama asiwe mgombea wa The Democratic.
Alisema Obama hakuzaliwa Marekani hana sifa za kugombea.
Yeye ana uzoefu wa mambo ya nje kwakuwa alishakuwa mke rais. Lakini ushindi wa Obama ulikuja kama tsunami.
Wanaomuita Lissu muongo, amekuwa shoga, endeleeni kukejeli. Lakini Lissu ni mpango wa Mungu kuipumzisha CCM kidogo.
Alisema Obama hakuzaliwa Marekani hana sifa za kugombea.
Yeye ana uzoefu wa mambo ya nje kwakuwa alishakuwa mke rais. Lakini ushindi wa Obama ulikuja kama tsunami.
Wanaomuita Lissu muongo, amekuwa shoga, endeleeni kukejeli. Lakini Lissu ni mpango wa Mungu kuipumzisha CCM kidogo.