Ukiondoa wastaafu wanaosubiri mafao yao, ni kundi gani jingine linaisoma namba zaidi?

Kuna waliomaliza mikataba yao pesa zao wanapewa asilimia 33 tuu nyingine mpaka baada ya miezi 18
Hivi sheria ya fao la kujitoa imeshapita au bado?
Kwanza hiyo 33% unapewa baada ya mwaka,baada ya hapo unaandika barua ya kuhamisha michango kwenda michango ya hiar zoez hili huchukua takribani miez 6 had 8 ,baada ya kuhamisha inakula tena miez 6 kulipwa mafao yako hivyo kama unataka mafao yako na kazi mkataba umekata moto inabidi ukae kwa kipindi kisichopungua miaka 3 ndipo unaweza kupata ela yako yote.hii ni true testimony
 
Binafsi naona wastaafu ndio kundi pekee waliomaliza kuzisoma namba zote hapa duniani.

Kuna wastaafu wengine wana miaka 2,3 n.k hawajalipwa stahiki zao.

Kila siku wakienda psssf wanaambiwa bado hiki, wakikamilisha hiki wanaambiwa bado kile. Then hupewa kakenda ya kulipwa, hapo Sasa shughuli inaanza tena.

Kama mtumishi hana mradi wowote wallah anaweza kufa kwa njaa au pressure pindi atakapostaafu maana kipindi cha kusubiria mafao hakitabiriki.
Kundi lingine ambalo tunasoma namba ni wakulima. Adui yetu mkubwa ni anayetupangia pa kuuza mazao yetu.
Tunalima kwa gharama zetu, bila ruzuku. tukivuna tu tunaelekezwa pa kuuza na mipaka inafungwa
Mungu anawaona
 
Kwanza hiyo 33% unapewa baada ya mwaka,baada ya hapo unaandika barua ya kuhamisha michango kwenda michango ya hiar zoez hili huchukua takribani miez 6 had 8 ,baada ya kuhamisha inakula tena miez 6 kulipwa mafao yako hivyo kama unataka mafao yako na kazi mkataba umekata moto inabidi ukae kwa kipindi kisichopungua miaka 3 ndipo unaweza kupata ela yako yote.hii ni true testimony
Mungu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hiyo 33% unapewa baada ya mwaka,baada ya hapo unaandika barua ya kuhamisha michango kwenda michango ya hiar zoez hili huchukua takribani miez 6 had 8 ,baada ya kuhamisha inakula tena miez 6 kulipwa mafao yako hivyo kama unataka mafao yako na kazi mkataba umekata moto inabidi ukae kwa kipindi kisichopungua miaka 3 ndipo unaweza kupata ela yako yote.hii ni true testimony
Wanapochelewesha wanakuwa wanakagua Nini?
Ila Maza akipindua Meza kwa hili atajipatia legacy kubwa Sana.

Kama ameza kupindua kanuni ya PF3
Akipindua na hii yaani atakuwa amepangua ukuta wa Jericho .
Tuzidi kuvuta subra.
 
Wanapochelewesha wanakuwa wanakagua Nini?
Ila Maza akipindua Meza kwa hili atajipatia legacy kubwa Sana.

Kama ameza kupindua kanuni ya PF3
Akipindua na hii yaani atakuwa amepangua ukuta wa Jericho .
Tuzidi kuvuta subra.
Acha tuu mkuu omba yasikukute ,ni usumbufu wa kufa mtu
 
Ndio hivyo mkuu ,sasa omba michango yako isizidi miaka 14 ,hapo utaambulia asilimia33% baada ya hapo unaambiwa subiri ustaafu ndio upewe iliyobaki ,sasa ngoma iliyobaki nayo ukiwa mzee utaambulia 25% nyingine unalipwa mdogo mdogo hadi ukate kamba.
Pengine Samia atarekebisha hili... Linaumiza sana... Watumishi wengi wamafariki kabla ya kufaidi mafao yao
Alaanike yeyote aliyeleta hii sheria kandamizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu PSSSF ni ugonjwa unaoua wastaafu. Nimewahi fwatilia mafao ya mtu wangu wa karibu alifariki 2017 nilihangaika from.hiyo 2017- 2020 ndio walinipa stahiki za marehemu tena kwa mbinde haswa. Nilitokea kuwachukia sana jamaa wanakaa ofisini hamna kitu cha maana wanachofanya.Pathetic
 
Asalaam Aleykum

Hili tatizo limekuwa endelevu na Ni kwasababu Policy Makers hasa Wabunge wao hawazungushwi,wala hawapewi "Empty Promises"

Inaingiaje akilini mtu unakamilisha viambatanishi vyoote then unapewa tarehe ya kurudi,halafu unaambiwa kimepanda kimeshuka.
PSSF ni virus inayoua wastaafu.

Sijajua kuhusu NSSF Kuna mbunge aliongea vizuri Sana Kama mtu ana clip anaweza kuiweka ,tuende tufike mahali kipimo Cha Rais kuwa madarakani Ni jinsi atavyoshuhulikia Mafao ya Wastaafu bila kuwachosha hivihivi asipitishwe
Hivi kile kikao cha Rais na Wazee wa Dsm hawakuliongea hili suala?
 
Wity mie ntakubali mnipopoe tu, mshauri atoke hapo alipo mpe fare aende mkoa! Jamani kuna siri kubwa sana ya kutoka mahali ulipo ukaenda mbali kbs. Shida ya wanadaresalama wameuzoea mji wanaona wakitoka hapo hakuna kwingne kwa kwenda!

Mie ni muumini sana wa kutoka kwenye comfort zone!

Ukiwa mbali na ulipopazoea akili ina charge sana, kama ni aibu, inaondoka, anaweza fanya vitu vingine mpaka akaona mambo yanaenda angalau
 
Wanapochelewesha wanakuwa wanakagua Nini?
Ila Maza akipindua Meza kwa hili atajipatia legacy kubwa Sana.

Kama ameza kupindua kanuni ya PF3
Akipindua na hii yaani atakuwa amepangua ukuta wa Jericho .
Tuzidi kuvuta subra.
Mama ana nia njema ya kurekebisha mambo mengi lkn je HELA zipo huko kwenye mifuko ya Jamii hilo ndio swala la muhimu la kujiliza?
Ukweli hakuna hela huko na watu ni wengi wanadai Mafao yao hela zote zimeyayukaa
nakibaya zaid kila mwaka wastafaa wanaongeza.
 
Mama ana nia njema ya kurekebisha mambo mengi lkn je HELA zipo huko kwenye mifuko ya Jamii hilo ndio swala la muhimu la kujiliza?
Ukweli hakuna hela huko na watu ni wengi wanadai Mafao yao hela zote zimeyayukaa
nakibaya zaid kila mwaka wastafaa wanaongeza.
 
Back
Top Bottom