Ukiondoa wastaafu wanaosubiri mafao yao, ni kundi gani jingine linaisoma namba zaidi?

Binafsi naona wastaafu ndio kundi pekee waliomaliza kuzisoma namba zote hapa duniani.

Kuna wastaafu wengine wana miaka 2,3 n.k hawajalipwa stahiki zao.

Kila siku wakienda PSSSF wanaambiwa bado hiki, wakikamilisha hiki wanaambiwa bado kile. Then hupewa kakenda ya kulipwa, hapo sasa shughuli inaanza tena.

Kama mtumishi hana mradi wowote wallah anaweza kufa kwa njaa au pressure pindi atakapostaafu maana kipindi cha kusubiria mafao hakitabiriki.
Hivi mstaafu mpaka unatimiza miaka 60!
Hata chumba kimoja Cha kupangisha huna!!!?mpaka uanze Kusukumana kwenye Daladala wakati unaenda nssf
 
Hivi mstaafu mpaka unatimiza miaka 60!
Hata chumba kimoja Cha kupangisha huna!!!?mpaka uanze Kusukumana kwenye Daladala wakati unaenda nssf
Hivi mstaafu mpaka unatimiza miaka 60!
Hata chumba kimoja Cha kupangisha huna!!!?mpaka uanze Kusukumana kwenye Daladala wakati unaenda nssf
Waziri wa Fedha amegusia masuala ya mifuko ya Hifadhi Ila sijui kwanini hakugusa suala la kikokotoo.

Wakitoe na wawalipe haraka wastaafu malimbikizo yao.

Kikokotoo ndo chanzo Cha umaskini huwezi kusubiri hela amabayo ni robo ya salary yako halafu Kuna inflation.
Huu Ni ughaidi wa mchana kweupe
 
Binafsi naona wastaafu ndio kundi pekee waliomaliza kuzisoma namba zote hapa duniani.

Kuna wastaafu wengine wana miaka 2,3 n.k hawajalipwa stahiki zao.

Kila siku wakienda PSSSF wanaambiwa bado hiki, wakikamilisha hiki wanaambiwa bado kile. Then hupewa kakenda ya kulipwa, hapo sasa shughuli inaanza tena.

Kama mtumishi hana mradi wowote wallah anaweza kufa kwa njaa au pressure pindi atakapostaafu maana kipindi cha kusubiria mafao hakitabiriki.
Wity mie ntakubali mnipopoe tu, mshauri atoke hapo alipo mpe fare aende mkoa! Jamani kuna siri kubwa sana ya kutoka mahali ulipo ukaenda mbali kbs. Shida ya wanadaresalama wameuzoea mji wanaona wakitoka hapo hakuna kwingne kwa kwenda!

Mie ni muumini sana wa kutoka kwenye comfort zone!
NSSF wanatengeneza nchi ambayo itakuwa na looters na insurgency Kama South Africa.Hili fukuto na Volcano inayowaka Ni Kama Covid haitawaacha matajiri salama.NSSF you are the loosers
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom