JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,720
- 13,954
Hivi mstaafu mpaka unatimiza miaka 60!Binafsi naona wastaafu ndio kundi pekee waliomaliza kuzisoma namba zote hapa duniani.
Kuna wastaafu wengine wana miaka 2,3 n.k hawajalipwa stahiki zao.
Kila siku wakienda PSSSF wanaambiwa bado hiki, wakikamilisha hiki wanaambiwa bado kile. Then hupewa kakenda ya kulipwa, hapo sasa shughuli inaanza tena.
Kama mtumishi hana mradi wowote wallah anaweza kufa kwa njaa au pressure pindi atakapostaafu maana kipindi cha kusubiria mafao hakitabiriki.
Hata chumba kimoja Cha kupangisha huna!!!?mpaka uanze Kusukumana kwenye Daladala wakati unaenda nssf