Ukiondoa Tanzania, ni nchi gani tena ambako jeshi lilitumika kukusanya korosho?

Naomba wajuvi na wajuzi wa mambo mnisaidie, ukiondoa Tanzania ni nchi gani tena duniani imewahi kutumia jeshi kukusanya korosho?

Na vipi kama senene wakiwa wengi Bukoba, linaweza kutumika kuwakusanya pia?

Au siku mpunga ukiwa mwingi kule Kyela wataenda kuukusanya?

Na vipi migebuka ikifurika Kigoma wataenda?

Kuna muda huwa najiuliza kwamba je inawezekana labda Marais wote waliopita Hayati Mwalimu, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete ndiyo hawakujua kulitumia vizuri Jeshi letu na hivyo huyu wa sasa Dkt. Magufuli ndiyo analitumia vizuri au ni Kinyume chake lakini mpaka sasa sijapata jibu / jawabu kamili.
 
Amini amini nawaambia kuwa, ipo siku inakuja tena haiko mbali ambapo Majeshi yetu yote (JWTZ, POLISI, MAGEREZA nk) yatasema...

"......hapana, imetosha, hatutaki tena kutumiwa kama "toilet papers" na wanasiasa kwa maslahi yao......"

Msiombe siku hiyo ifike maana itakuwa ni kilio na kusaga meno na tena itakuwa ni aibu kuubwa sana kwa baadhi ya watu...

Na kuanzia wakati huo, majeshi yote yatakuwa upande wa wananchi...

Ikumbukwe kuwa Daudi Albert Malyangili Bashite a. k.a Paul Christian Makonda na partner wake mkuu Bwana John Pombe Magufuli nao ni wanasiasa pia tena hawa ndiyo haswa tatizo katika nchi hii na ndiyo wanaotaka kuingiza nchi hii katika shida!!
 
Naomba wajuvi na wajuzi wa mambo mnisaidie, ukiondoa Tanzania ni nchi gani tena duniani imewahi kutumia jeshi kukusanya korosho?

Na vipi kama senene wakiwa wengi Bukoba, linaweza kutumika kuwakusanya pia?

Au siku mpunga ukiwa mwingi kule Kyela wataenda kuukusanya?

Na vipi migebuka ikifurika Kigoma wataenda?
Kukusanya au kubangua kwa meno
 
Naomba wajuvi na wajuzi wa mambo mnisaidie, ukiondoa Tanzania ni nchi gani tena duniani imewahi kutumia jeshi kukusanya korosho?

Na vipi kama senene wakiwa wengi Bukoba, linaweza kutumika kuwakusanya pia?

Au siku mpunga ukiwa mwingi kule Kyela wataenda kuukusanya?

Na vipi migebuka ikifurika Kigoma wataenda?
Check North Korea, Vietinam au Cuba, inawezekana walishafanya.
 
Naomba wajuvi na wajuzi wa mambo mnisaidie, ukiondoa Tanzania ni nchi gani tena duniani imewahi kutumia jeshi kukusanya korosho?

Na vipi kama senene wakiwa wengi Bukoba, linaweza kutumika kuwakusanya pia?

Au siku mpunga ukiwa mwingi kule Kyela wataenda kuukusanya?

Na vipi migebuka ikifurika Kigoma wataenda?
Jeshi hutumika kokote kwenye umuhimu.
 
Jeshi kutumika kwenye mambo ambayo yanafaida kwa uchumi wa nchi sio tatizo,ila kilichopo kwenye hii ishu ya korosho,wanasababisha wananchi kuanza kulichukia jeshi lao.
Siasa mbaya sana,ona Polisi wanavyo chukiwa.


5/5.
 
Back
Top Bottom