Ukiondoa tabia ya kuwarubuni wabunge wa CHADEMA wahamie CCM, Dkt. Bashiru ni kiongozi makini na mjamaa

Hafai hasa kwa nafasi ya KM sababu he is too robot, hajui chama na hajui kinafanyaje kazi from the grassroot, Yeye na mwendazake wamepitisha vijipolicy vya ajabu vimepelekea maumivu na ufukara hata kwa watumishi wa chama, Mfano ni makusanyo kuhamia acc moja ya makao makuu. Huyo polepole ndio hamna kitu anajisifia viongozi wa wilaya na mikoa kuwa na toyota hardtop hajui hata mafuta wanapata vipi, bure kabisa waondolewe wote wapewe wana CCM chama chao.
Yani ccm ya hapa kazi tu imejaa wagonjwa wa akili kma mwendazake,kaokota watu vijiweni kawapa vyeo ccm
 
Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.

Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.

Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.

Kazi Iendelee!
Mnafiq mkubwa huyu hafai kabisa!
 
CCM hawamtaki kisa eti hakuwa mwanachama kindakindani na hajakulia huko, na alikuwa CUF. Ila jamaa ukimsikiliza anaonekana ni Mzalendo Sana, sema ndo hivo majizi ya CCM hayamtaki
Binafsi namkubali Bashiru sana, nafatilia mikutano huko Dodoma simuoni kwakweli..!! Hali hii inanitisha sana kias nawaza pale CCM akitoka Bashiru akatoka Mangula si ndiyo basi tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.

Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.

Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.

Kazi Iendelee!
Hana Umakini wowote angekuwa Makini asingefanya biashara ya Kijinga ya kununua Wabunge wa upinzani
 
Huyo Mrundi Bashiru ndiye alikuwa anaandaliwa na Mwendazake kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2025. Yaani kweli hicho kiazi ndiyo cha kuwa Rais wa Tanzania? Alipoona yeye amepata kuwa Rais kwa sababu ya misuguanao ya JK na Lowassa mwaka 2015, akaona ngoja atuletee Mrundi mwingine.

Ila Mungu anajuwa kuchukua hatua. Kwanza kapeleka Jehanam roho ya Mwendazake, huyu naye Bashiru anasubiria ripoti yake ya uchotaji fedha za BOT akiwa mbunge wa viti maalum
Hivi haya maneno yapo kwenye kamusi ya matusi? : Murundi
: mbunge wa viti maalumu
 
Back
Top Bottom