tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Yani ccm ya hapa kazi tu imejaa wagonjwa wa akili kma mwendazake,kaokota watu vijiweni kawapa vyeo ccmHafai hasa kwa nafasi ya KM sababu he is too robot, hajui chama na hajui kinafanyaje kazi from the grassroot, Yeye na mwendazake wamepitisha vijipolicy vya ajabu vimepelekea maumivu na ufukara hata kwa watumishi wa chama, Mfano ni makusanyo kuhamia acc moja ya makao makuu. Huyo polepole ndio hamna kitu anajisifia viongozi wa wilaya na mikoa kuwa na toyota hardtop hajui hata mafuta wanapata vipi, bure kabisa waondolewe wote wapewe wana CCM chama chao.