Wapiga vigelegele bado wapo? Ina maana mpaka sasa hawajaona mapungufu makubwa ya kiuongozi aliyoyafanya mwendazake? Mwenda zake badala ya kuliunganisha Taifa yeye alikuwa ameligawa kwenye vipande vidogovidogo mithili ya chupa iloanguka toka juu ya ghorofa mpaka chini kwenye jiwe gumu matokeo yake baadhi ya hivo vipande vimejificha ambapo ni hatari kwa afya ya Taifa hapo baadae