Kuna watu huwa nawaambia, Ikitokea taasisi iliyoserious kabisa kuhudumia mambo hayo mawili ya ndoa na misiba hata kwa malipo kidogo ya mwaka kama bima.
Ni watu wachache sana wataendelea kusali haya makanisa yaliyogeuka maduka siku hizi.
Makanisa mengi yamekuwa na viongozi wasiyo waadilifu.
Viongozi wa dini wamegeuza milango ya makanisa kama Duka lao la biashara.
Ni jambo la kawaida sana siku hizi kumkuta padre au mchungaji anaendesha gari ya bei mbaya.
Hapo ndipo ujiulize pesa wanapata wapi kama siyo sadaka, na upigaji wa mali za kanisa ni nini?
Sasa hivi mbinu kubwa wanayoitumia kuiba pesa ni kupitia miradi ya ujenzi na viwanja wanavidalalia.
Ni aibu sana kwakweli!
Kwahiyo ikitokea taasisi ikajipambanua kuja na sera mbadala kutoa huduma za ndoa na misiba hakuna atakayesali makanisa haya.
Ni watu wachache sana wataendelea kusali haya makanisa yaliyogeuka maduka siku hizi.
Makanisa mengi yamekuwa na viongozi wasiyo waadilifu.
Viongozi wa dini wamegeuza milango ya makanisa kama Duka lao la biashara.
Ni jambo la kawaida sana siku hizi kumkuta padre au mchungaji anaendesha gari ya bei mbaya.
Hapo ndipo ujiulize pesa wanapata wapi kama siyo sadaka, na upigaji wa mali za kanisa ni nini?
Sasa hivi mbinu kubwa wanayoitumia kuiba pesa ni kupitia miradi ya ujenzi na viwanja wanavidalalia.
Ni aibu sana kwakweli!
Kwahiyo ikitokea taasisi ikajipambanua kuja na sera mbadala kutoa huduma za ndoa na misiba hakuna atakayesali makanisa haya.