Kama neno lilivyo (Mubashara/Tv Live coverage)!
Likiwa na maana ya kuona matukio kwa wakati kupitia luninga au Simu janja pasipo kuwepo eneo la tukio!
Pamoja na nia njema za wavumbuzi Wa teknolojia hii kulenga kuonesha kila kitu kinachotendeka eneo la tukio kama ambavyo kingeonekana endapo mtazamaji angeamua kuhudhuria eneo hilo!
Ukiondoa kabumbu na michezo; Utekelezaji wa "live coverage" umeonyesha kupigwa vita sana hususani nchi zinazoendelea, kiasi kwamba wanahabari huogopa kuchukua matukio yanayoaibisha!
Mfano!
Nchini MAREKANI; Rais Trump alipokuwa akitoa utetezi wake mbele ya viongozi Wa bunge la seneti, tuliona live ambavyo hakumsalimia (shake hands) spika, pia tuliona spika alivyoichanachana ile hotuba ya Trump na kuitupa kwenye dustbin!
Hii inamaana gani?
(Waliokuwapo waliona na tuliokuwa live tuliona, hiyo ndiyo maana ya MUBASHARA! (Yaani asiyekuwepo anashuhudia)
Sasa Tuangalie nchi zinazoendelea zinafanya nini kwenye matukio mubashara!
Hivyo matukio mengi ya mubashara huwa yanaficha na kuchujwa taarifa ukiondoa michezo!
Ninaposema Michezo inajitahidi kufanya "live coverage" ninamaanisha hata kama kuna makosa, sote tunayashuhudia Kwa pamoja!
Mfano! Timu yetu ya Yanga ilipo fungwa goli na refa akaamua ipigwe kona! Sote tuliona "LIVE"
Hakika nchi zinazoendelea upande Wa taarifa mubashara bado tuna wingu zito sana la kitumwa! Hatujui kutofautisha maana ya live na recorded!
Kazi ya kuchuja au kukwepesha habari mubashara ni matumizi mabaya ya AKILI.
Likiwa na maana ya kuona matukio kwa wakati kupitia luninga au Simu janja pasipo kuwepo eneo la tukio!
Pamoja na nia njema za wavumbuzi Wa teknolojia hii kulenga kuonesha kila kitu kinachotendeka eneo la tukio kama ambavyo kingeonekana endapo mtazamaji angeamua kuhudhuria eneo hilo!
Ukiondoa kabumbu na michezo; Utekelezaji wa "live coverage" umeonyesha kupigwa vita sana hususani nchi zinazoendelea, kiasi kwamba wanahabari huogopa kuchukua matukio yanayoaibisha!
Mfano!
Nchini MAREKANI; Rais Trump alipokuwa akitoa utetezi wake mbele ya viongozi Wa bunge la seneti, tuliona live ambavyo hakumsalimia (shake hands) spika, pia tuliona spika alivyoichanachana ile hotuba ya Trump na kuitupa kwenye dustbin!
Hii inamaana gani?
(Waliokuwapo waliona na tuliokuwa live tuliona, hiyo ndiyo maana ya MUBASHARA! (Yaani asiyekuwepo anashuhudia)
Sasa Tuangalie nchi zinazoendelea zinafanya nini kwenye matukio mubashara!
- Mrusha matangazo anatakiwa afiche madhaifu yoyote yanayoonekana pale!
- Na ikitokea Tukio dhaifu limeoneshwa basi huwa lipo ndani ya mpango kazi tangu mapema (planned event)
- Serikali huwa ipo tayali kuficha udhaifu huo Kwa gharama yoyote, badala ya kutumia gharama hizo kutatua changamoto iliyooneshwa!
Hivyo matukio mengi ya mubashara huwa yanaficha na kuchujwa taarifa ukiondoa michezo!
Ninaposema Michezo inajitahidi kufanya "live coverage" ninamaanisha hata kama kuna makosa, sote tunayashuhudia Kwa pamoja!
Mfano! Timu yetu ya Yanga ilipo fungwa goli na refa akaamua ipigwe kona! Sote tuliona "LIVE"
Hakika nchi zinazoendelea upande Wa taarifa mubashara bado tuna wingu zito sana la kitumwa! Hatujui kutofautisha maana ya live na recorded!
Kazi ya kuchuja au kukwepesha habari mubashara ni matumizi mabaya ya AKILI.