Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Masaburi ni kitu gani?.
Ni yale mamilima yanayozunguka TUNDU LUSSU.
Masaburi ni kitu gani?.
kwa staili hii, nchi imerudisha ubepari. acha watwana watumikie mabwana zao. Ukisoma picha kuna habari nyingi za kuandika. 1. Maslai yao yaliwekwa rehani. 2. Uozo uliopo ni wa wengi. 3. Kuna siri nzito ingefichuka. 4. Anawasaidia sana maswala ya kifedha. Nisaidieni nyingine.
mi ciku iz hata vidole vya kutaip comments vimekufa ganzi...!
nikae tu kimya....better this way!
mna heri mlioko ulaya,asia na america!hakika mna heri ninyi....na nisingewashauri hata kufikiri kuyafanya maisha yenu tanzania!please
<br />picha iliyonihuzunisha
Mimi siwalaumu waliosukuma gari ni namna ya kujipendekeza kwa Jairo ili awakumbuke kwenye ufalme wake
Umaskini ni mbaya sana
Tena siyo tu kwamba ni watu wazima lakini pia - bila shaka - wasomi.
kama ni wasomi basi lazima digrii zao ni 'feki' asilimia mia, na wanafikiria kwa masaburi