Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
picha iliyonihuzunisha
<br />picha iliyonihuzunisha
<br />Shit.... Bora tufe tu!
na njiani wanapigwa na foleni la kufa mtu<br />
Mi hata sijui ukiwauliza watajibu nn!
Wakirudi nyumbani kwao wanakutana na giza! Aibu tupu
Hii yote shida mzee! Wanawaza angeondoka tungeishi vp!na njiani wanapigwa na foleni la kufa mtu
<br />Kwani ni nani anayesukumwa?
Hommie hapa nina hasira balaa!!<br />
Mi hata sijui ukiwauliza watajibu nn!
Wakirudi nyumbani kwao wanakutana na giza! Aibu tupu
pole sana!!!mi ciku iz hata vidole vya kutaip comments vimekufa ganzi...!
nikae tu kimya....better this way!
mna heri mlioko ulaya,asia na america!hakika mna heri ninyi....na nisingewashauri hata kufikiri kuyafanya maisha yenu tanzania!please
<br />Hommie hapa nina hasira balaa!!<br />
kwanza umeme wamekula, laptop yangu itazima mida si mirefu, mbu wananitafuna, sijui wametumwa na Chiligati!!<br />
<br />
Sukari bei juu<br />
mafuta bei juu<br />
umeme hakuna kabisa<br />
dawa hospitali hakuna.........hata dose ya minyoo hakuna!!!<br />
dawa zinaharibika kwenye maghala ya MSD<br />
samaki wa sumu wanaingizwa nchini
sirtashangaa kuambiwa kuwa hawa nao wanatumia masaburi kufikiriaHao wana wazimu!!
shtukapole sana!!!
hao ni wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini wanamsukuma Jairo kwa kurudi kaziniKwani ni nani anayesukumwa?