Ukiona watoto wanafurahia kuumwa, kifo cha baba, na baba hujafa-jitafakari, tubu

Status
Not open for further replies.

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,045
20,408
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza
 
Watoto wa dizaini hiyo wapo hata kwenye familia wapo. Jua kabisa hao ni majipu. Mara nyingi huwa wanafurahia mali. Wachache humu tunao ambao ni zao la ufisadi na pesa za dili dili ambao kwa sasa dili zimefungwa na magufuli. Hao ndio wanahaha.
 
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza
Watoto wa namna hiyo ni “prodigal sons”
 
Safari hii jamiiforums ikipona kufutwa, nitaamini vyombo vingine vinasingizia kuminywa ili tuwaonee huruma
 
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza
Baba gani katili hivi, wabunge waliongea anawata wasaliti anaamuru wapigwe risasi? Anawavua ubunge? Anaroho mbaya kama ibilisi!!
 
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza

Mitoto ya namna hiyo ni mipumbavu, Hopeless. Inaweza hata muua baba yao ili irithi mali.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza
Kituko kingine toka ufipa.
Yaani bavicha ndio watoto?
 
Hali Hii inatisha!

Unapoona watoto wanatamani kusikia Baba yao amevuta, basi ujue aliyewafikisha hapo ni Baba yao mwenyewe!
Malezi bora unayompa mtoto ya Upendo na kumthamini ndio yanamjenga mtoto kukupenda na kukuheshimu kama Baba na atakulinda na kukutea kwa kila hali, Ukiona kila saa unamkumbusha mtoto kuwa mimi ndio Baba yako, ujue kuna shida kubwa Sana kwenye Malezi.

Baba anatakiwa alee familia yake kwa Mapenzi yote ili watoto watamani kuishi na Baba yao.
Inatisha sana pale unaposikia watoto wakifurahia kumuhesibia time Baba yao bila hata kujua ni kweli au sio lakini wanaonekana kutamani kuwa kweli!

Ninaomba sana Baba mwenye malezi ya chuki, hasira, kutukana hovyo, kuchapachapa, kumfunga ndani, kumzuia kuongea,... matendo yote ya hovyo unyanyasaji kwa wanao, basi tegemea hata ukiumwa mafua, watatamani uzime jumla!

Watoto wanahitaji upendo, kumjali na kumheshimu, usimnyanyase hata kidogo!

Kama unaumwa, sawazisha na wanao na ikiwezekana waambie na wengine wakuombee upone!
Ninawatakia malezi mema kwa watoto wenu.

Baba kaenda safari, mara kakatisha safari yake bila maelezo karudi nyumbani pahala ambapo alisema amehama, hajulikani alipo na hajaenda kufungua shughuli aliyokuwa ameipania kuwananga washindani wake, muda huo watoto wanafurahi kwa shangwe na vifijo, lazma ujiulize maswali mengi sana.

Baba analazimisha kupendwa ilhali hapendwi, hana kauli, kila kitu anajua, lazma achokwe.

Tumuombee baba , kama kweli yupo na kama hayupo tumuombee baba yetu









sam Ruhuza
Pumbafu!una roho ya chura!soma hadithi ya chura na nyati dume
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom