Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Upinzani katika mfumo wa vyama vingi ni kioo kwa chama kinachotawala. Maana wapinzani huwa wanakosoa pale mtawala anapokosea.
Tangu mama aanze vyema kwa kuupiga mwingi mpaka wapinzani wakaanza kumsifia kwa kila namna anavyoendesha nchi ni dalili tosha kuwa chama tawala kinafanya vyema.
Kero kama ya tozo ya miamala kutatuliwa kwa muda mfupi ni dalili njema pia, japokuwa ilitakiwa ifutwe kabisa. Najua huko mbele itafutwa hasa baada ya zahanati, shule na vituo vya afya kukamilika.
Kama chama tawala cha Ccm hakifanyi vizuri, tunavyowajua wapinzani hasa Act wazalendo, Cdm na Cuf wangelianza kuleta maneno.
Kwq mwendo huu wa wa serikali ya mama Samia kuchapa kazi huku ikitatua kero za wananchi ni vyema wapinzani wakapongeza japo kiduchu.
Tangu mama aanze vyema kwa kuupiga mwingi mpaka wapinzani wakaanza kumsifia kwa kila namna anavyoendesha nchi ni dalili tosha kuwa chama tawala kinafanya vyema.
Kero kama ya tozo ya miamala kutatuliwa kwa muda mfupi ni dalili njema pia, japokuwa ilitakiwa ifutwe kabisa. Najua huko mbele itafutwa hasa baada ya zahanati, shule na vituo vya afya kukamilika.
Kama chama tawala cha Ccm hakifanyi vizuri, tunavyowajua wapinzani hasa Act wazalendo, Cdm na Cuf wangelianza kuleta maneno.
Kwq mwendo huu wa wa serikali ya mama Samia kuchapa kazi huku ikitatua kero za wananchi ni vyema wapinzani wakapongeza japo kiduchu.