miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,967
Sikijui mkuu
Unaifahamu kipago mshale
Unaifahamu kipago mshale
Ukuje inbox miss chagga
Mbona Mungu ndiye fundi namba moja kwenye miili ya binadamu au nimechanganya mada.😂😂😂Kwa nini ulete ufundi kwenye mwili wa mwenzio?
Toa mkuuNataman nitoe tamko lakn ngoja nikae kimy
kwa nini mnafanya?Vipi kama anapenda na mimi napenda?
ha ha ha unakuta mtu anakamatia kama fungu la nyanyaMbona Mungu ndiye fundi namba moja kwenye miili ya binadamu au nimechanganya mada.😂😂😂
Kwahyo ndo tuseme we ni mtumizi wa kupiga chali kimoko ama nn mkuu
popo kanyea mbingu naomba hii picha yake unitumie inbox .Ukiona unatumia staili nyingi kwenye kumi na nane (18) ujue umemgeuza mwenzio kama chombo cha starehe. Na hii imekuwa ni kasumba kwa watu kujisifia; mara popo kanyea mbingu, mbuzi kagoma, chuma mchicha n.k Tujiulize yote hayo ni ya nini? Je yanampendeza muumba?
Njoo basi na wewe inboxpopo kanyea mbingu naomba hii picha yake unitumie inbox .
Je huwa tunafanya kihalali au kama starehe tu?Kwani kuna kitabu cha dini kishazungumzia stahili? Haijalishi umekaaje bhana muhimu Tundu ni halali na mpo kihalali
Tatizo ni kuleta ufundi kwenye mwili wa mwenzioMleta mada unalazimisha tusiwe wabunifu ili tumalize kwenye style moja kama Gwajima?
Unataka ukampe nani hiyo staili?popo kanyea mbingu naomba hii picha yake unitumie inbox .
U msima avaee??Msacha
Huko kila mtu atajua kwenye nafsi yake ila stahili vitabu haijazungumza kuhusu hiloJe huwa tunafanya kihalali au kama starehe tu?