Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,883
- Thread starter
- #41
..mi sipendi watu kupangiana maisha..homogeneous life halijawahi kua life la mwanadamu..our diversity and differences ndio maisha yetu.
Mbaya zaidi kuna watu alimezeshwa matango poli kuwa imani zetu zilikua mbaya ilihali ndizo zilizo walea na kuwatunza wazee wetu hadi sisi kuja kuzaliwa mbona tuzibeze?
Kama unaona hazi fai kaa kimya abudu zi zokufaa hujalazimishwa..leo hii ushoga ni haki za kibinadamu ila kuwa na wake wengi ni kosa...brainwashed creatures ni tatizo sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nilichoandika ndio hiko