eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Ndio hivyo jiulize uwezo wako wa kwenye faraga ukoje je unamridhisha au humridhishi
Kipimo cha kujua haya yote kwa mwanaume na mwanamke ni usaliti
Ukiona unasalitiwa mara kwa mara na mwenza wako, demu wako,mchumba wako, mke wako,mume wako jua kuna vitu kwako haviko sawa na itakubidi utafute chanzo cha tatizo hilo ni nini
Ukweli ni kuwa kama unamridhisha vya kutosha mwenza wako mke wako mume wako hatahisi kama kuna mwingine zaidi yako
Kama unamridhisha vizuri demu wako mchumba wako basi haya hutayaona na wala hataamini kama kuna mwingine zaidi yako
Usisahau maneno yako
Namna unavyotendea kwa uzuri hawezi kukusahau daima
Kipimo cha kujua haya yote kwa mwanaume na mwanamke ni usaliti
Ukiona unasalitiwa mara kwa mara na mwenza wako, demu wako,mchumba wako, mke wako,mume wako jua kuna vitu kwako haviko sawa na itakubidi utafute chanzo cha tatizo hilo ni nini
Ukweli ni kuwa kama unamridhisha vya kutosha mwenza wako mke wako mume wako hatahisi kama kuna mwingine zaidi yako
Kama unamridhisha vizuri demu wako mchumba wako basi haya hutayaona na wala hataamini kama kuna mwingine zaidi yako
Usisahau maneno yako
Namna unavyotendea kwa uzuri hawezi kukusahau daima