Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,040
- 3,286
Juzikat nimeona post FB mashoga na wasagaji wanapaka hizi rangi kwenye ngazi za daraja.🤔🤔🤔 huenda kuna jambo behind the scene.
Siji kutumia i phone hata wakifunga viwanda vya tecno
Duh aiseMkuu hata hayo maandishi ya GOOGLE nayo mbona ni GAY COLOR CODE?
tumezungukwa na hizo rangi kila mahali,sema tu wabongo tunajifanya ujuaji mwingi wakati kimsingi mbele giza...twendeni tu hivyo hivyo,hakuna namna...
Sawa chapatiSema huna hela tu, huna lolote 🤪
Sijawahi kuifikiria hiyo simu hata siku moja. Hapa nawaza namna ya kuipata Blackberry Passport na PlaybookUnajifariji tu mzee!
Kuna Tecno users wengi wamekuzidi kila kitu wewe mwenye sijui iPhone X na sometimes unakaa chumba cha kupanga na wala hawawazi kuishangaa sembuse kuinunua.
Hii kauli huwa mnaitumia sana mnaomiliki vifaa brand hii ila hamna lolote mnalokuwa nalo ukweli ndo huo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Zawadi kuu toka kwa Mungu ni kuwa Shoga? Utamu ulioje anaoupata huyo bwana kwenye shoga, this is ridiculous!Steve Job hakuwa Shoga, alikuwa mume wa mwanamke na walijaliwa watoto watatu. Shoga ni Chief Executive Officer ( CEO) wa sasa Tim Cook. Alishajitangaza hadharani kuwa hakuna zawadi kuu toka Kwa Mungu aliyopewa kama kuwa Shoga. Hizo rangi za Rainbow ni alama ya Ushoga.