Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Aliyesema Papa huchaguliwa na wengi si kweli! Anawekwa na wachache na akisema rangi nyeusi ni nyeupe ni lazima wote waseme "ndio"
Hiyo reli isiyofika hata Moro itapeleka wapi mizigo? Mizigo inaenda Moro au dodoma siku hizi?Hivi wewe Sky Eclat unadhani anapopambana kutengeneza reli hujui wenye malori kama Salary Slip wanakasirika na wangefurahi akitoweka leo hii? Tumia akili wakati mwingine
Bora elimu siyo elimu bora , elimu ya bure shule ina walimu 4 wanafinzi 1000. Kweli bure aghali.Kajifunze kuandika vizuri dogo,haya ndio matokeo ya elimu mnayosomea ujinga
Kwani nasi tupo Urusi, tangu lini?Pole tena pole sana? _umemuona Magu tu? Rais wa Urus na Marekan hujawaona?
Ulinzi wa Viongozi ni Kazi ya Kitaalamu inayofundishwa kama wanavyofundishwa Wanasheria Wasomi. Acha kujishaua kwenye Taaluma za Watu.Ukiona Rais wa nchi analindwa kwa ulinzi wa hali ya juu sana, kwa mitutu na wanajeshi wengi, ujue huyo Rais hayupo hapo alipo kwa kura za wananchi wa Taifa hilo. Hivyo muda wote ana wasiwasi ya kuondolewa kwenye kiti alichakalia kibatili.
Ukiona Rais analazimisha kila mwananchi amuimbe yeye tu. Ujue hana uhakika na kuchaguliwa tena na Wananchi kwa awamu inayofuata, hivyo analazimika kulazimisha kila raia kumuimba yeye ili kuaminisha watu kuwa anakubalika.
Ukiona Rais wa nchi analazimisha watumishi wa Umma (wanaolipwa kodi za Wananchi) kumuimba yeye na kuwalazimisha Watumishi hao kujiunga na chama chake yeye, maana yake Rais huyu anajua kabisa kuwa hajawatimizia mahitaji muhimu watumishi hawa hivyo ili kutokumsumbua katika madai ni kuwatisha na kuwalazimisha wote wawe waimbaji wake wa mapambio.
Ukiona Rais wa nchi analazimisha kupendwa na kila mtu kwenye Taifa, ujue Rais huyo ana matatizo binafsi. Haelewi hata anachokifanya, maana anapingana na nature na ukweli wenyewe wa mambo kuwa, watu hawawezi kuwa na mtazamo sawa.
Ukiona Rais wa nchi hataki wapinzani wake wazungumze, wahoji na kuwachukulia Wapinzani wake kama "wahaini" katika Taifa, ujue Rais huyu katika Serikali aliyopo imefanya maovu mengi sana kuliko kawaida. Ikiwemo, mauaji ya raia, wizi, ubadhirifu n.k
Ukiona Rais wa nchi analazimisha watu wote kuikubali Serikali na kumkubali Rais kwa kila anachokifanya, ujue Rais huyo hajatekeleza mambo ya Wananchi badala yake ametekeleza matamanio yake na kuacha mahitaji ya Wananchi. Hivyo anawalazimisha Wananchi wakubali kuwa, matamanio ya Rais huyo ndio mahitaji ya Wananchi.
Unaweza kuongeza na wewe ndugu msomaji!!
Mohonia Joseph
Ndugu,Ukiona Rais wa nchi analindwa kwa ulinzi wa hali ya juu sana, kwa mitutu na wanajeshi wengi, ujue huyo Rais hayupo hapo alipo kwa kura za wananchi wa Taifa hilo. Hivyo muda wote ana wasiwasi ya kuondolewa kwenye kiti alichakalia kibatili.
Ukiona Rais analazimisha kila mwananchi amuimbe yeye tu. Ujue hana uhakika na kuchaguliwa tena na Wananchi kwa awamu inayofuata, hivyo analazimika kulazimisha kila raia kumuimba yeye ili kuaminisha watu kuwa anakubalika.
Ukiona Rais wa nchi analazimisha watumishi wa Umma (wanaolipwa kodi za Wananchi) kumuimba yeye na kuwalazimisha Watumishi hao kujiunga na chama chake yeye, maana yake Rais huyu anajua kabisa kuwa hajawatimizia mahitaji muhimu watumishi hawa hivyo ili kutokumsumbua katika madai ni kuwatisha na kuwalazimisha wote wawe waimbaji wake wa mapambio.
Ukiona Rais wa nchi analazimisha kupendwa na kila mtu kwenye Taifa, ujue Rais huyo ana matatizo binafsi. Haelewi hata anachokifanya, maana anapingana na nature na ukweli wenyewe wa mambo kuwa, watu hawawezi kuwa na mtazamo sawa.
Ukiona Rais wa nchi hataki wapinzani wake wazungumze, wahoji na kuwachukulia Wapinzani wake kama "wahaini" katika Taifa, ujue Rais huyu katika Serikali aliyopo imefanya maovu mengi sana kuliko kawaida. Ikiwemo, mauaji ya raia, wizi, ubadhirifu n.k
Ukiona Rais wa nchi analazimisha watu wote kuikubali Serikali na kumkubali Rais kwa kila anachokifanya, ujue Rais huyo hajatekeleza mambo ya Wananchi badala yake ametekeleza matamanio yake na kuacha mahitaji ya Wananchi. Hivyo anawalazimisha Wananchi wakubali kuwa, matamanio ya Rais huyo ndio mahitaji ya Wananchi.
Unaweza kuongeza na wewe ndugu msomaji!!
Mohonia Joseph
Mkuu njoo nikufunze diongei nisivovijua, ndo maana hata pop nimemwita rsisHaaaaa hivi Unajua Sera za ulinzi wa rais za Marekani? Kama hujui kaa kimya,
Unaelewa vizuri kuhusu cheo Cha Halifa wa Petro( Pope)? Jibu hayo kwanza afu tuendelee
Hiiiii ni muuupyaaa.... MaamaeeUkiona kuna RED BRIGADE zaidi ya 500 wanamlinda sana kiongozi mmoja tu ,ujue kuna hujuma kubwa kisiasa inapangwa
Raisi wa namna hiyo anahitaji kupimwa kama ni mzima!!
Rudia historia ya viongozi uliowataja na mazingira wanamoishi.Obama alilindwa kuliko marais wote, hakuchsguliwa kwa kura? Papa anslindwa kuliko marais wote, naye hakuchaguliw Kwa kurs. Acheni kujitoa ufaham
Ali Kibba ndiye hapendagi kulindwa lindwa Kama mfungwaNi Rais gani Duniani halindwi?
Pale ulinzi sio Obama bali ni "president of United State" na sababu za ulinzi huo ziko wazi.Obama alilindwa kuliko marais wote, hakuchsguliwa kwa kura? Papa anslindwa kuliko marais wote, naye hakuchaguliw Kwa kurs. Acheni kujitoa ufaham