DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Kama ww ni Mke wangu sawa kabisa. Nitakuhudumia na family nitaihudumia pia as the head of the family. Tatizo hii ya wasichana kupokea pokea hela za Wanaume imewaharibia wadada wengi sana maisha na kuua ndoto zao.Lakin wanawake tumeumbwa kuhudumiwa ama unasemaje ,sisi tunapokea tu