kuomba si kuomba omba mpenzi.Tutaomba hatuwezi acha maisha magumu sana
Utamu unauzwa halafu bei rahisi sana ujue.Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
Umaskini tu wa mali na elimu. Watoto wa kike wa matajiri na ambao wameelimika kiasi flani hawana hii tabia KABISAA.Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.
utamu unauzwa halafu bei rahisi sana ujue.
embu mtu offe vitu ambavyo hatuwezi pata kwingine.
Sababu ni Umaskini tu wa mali na elimu. Jamani pambaneni watoto wenu wasikulie kwenye dhiki ili mzazi uweze kumhudumia mahitaji yake yote. Asijehudumiwa na mwanaume.Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
Sababu ni Umaskini tu wa mali na elimu. WAZAZI WENU WALISHINDWA KUJIWEKEZA VIZURI HADI WATOTO WA KIKE MNAHANGAIKA. Jamani pambaneni watoto wenu wasikulie kwenye dhiki ili mzazi uweze kumhudumia mahitaji yake yote. Asijehudumiwa na mwanaume.Tutaomba hatuwezi acha maisha magumu sana 😂😂😂😂😂😂
Thread ifungwe, au iunganishwe...😁Tutaomba hatuwezi acha maisha magumu sana 😂😂😂😂😂😂
Naona unawasambaratisha vijana wa hovyo wa kuomba omba kwa silaha za mahangamiziSababu ni Umaskini tu wa mali na elimu. WAZAZI WENU WALISHINDWA KUJIWEKEZA VIZURI HADI WATOTO WA KIKE MNAHANGAIKA. Jamani pambaneni watoto wenu wasikulie kwenye dhiki ili mzazi uweze kumhudumia mahitaji yake yote. Asijehudumiwa na mwanaume.
IfungweThread ifungwe, au iunganishwe...😁
Ni kweli kabisa usemavyo wala hujakoseaSababu ni Umaskini tu wa mali na elimu. WAZAZI WENU WALISHINDWA KUJIWEKEZA VIZURI HADI WATOTO WA KIKE MNAHANGAIKA. Jamani pambaneni watoto wenu wasikulie kwenye dhiki ili mzazi uweze kumhudumia mahitaji yake yote. Asijehudumiwa na mwanaume.
SABUNI ZIPOMhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
Lakin wanawake tumeumbwa kuhudumiwa ama unasemaje ,sisi tunapokea tuSababu ni Umaskini tu wa mali na elimu. Jamani pambaneni watoto wenu wasikulie kwenye dhiki ili mzazi uweze kumhudumia mahitaji yake yote. Asijehudumiwa na mwanaume.
Eee kaka sasa kuna jamaa hapo katuchamba vya ukweli lakin sisi wapokeaji tu hadi sperms tunapokea tukuomba si kuomba omba mpenzi.
unaweza piga mzinga mmoja matata,ukaishi nao mwezi mzima.hali zenyewe mnazijua,sio mbaya kwenu pekee.
WarumiNlikutag uzi wa marehem swahiba
Jifariji hivohivo umri Fulani ukifika hujaolewa unajikuta unafuga mbwa na unampenda kwelikweliJeff Bezoz
Elon Musk
Vladimir Putin
Bill Gates
Roman Abramovich
...all share one thing in common..(at one point in their life)..
.. Divorced..
..Money "may "have nothing to do with Relationship Survival..(no guarantee)..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
😅😅😅Hio mbona imekaa fresh sana, ni neno zuri sana uliloliongea😊Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
Unajifariji mkuu
😅😅😅Hio mbona imekaa fresh sana, ni neno zuri sana uliloliongea😑Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.