Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani


Umenichekesha wewe mtu..
Yani inabdi uwe mkweli tuu...
Screenshot_20210920-175305_Gallery.jpg
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke.
Umeandika ya kweli kabisa.

Vile vile achilia mbali katika muktadha huo,ila tabia ya kuomba omba tu kiasili inashusha heshima. Ukweli uko hivyo na si tabia nzuri.
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.
Jf ujinga umekuwa kwa kasi Sana nashawishika kusema japo sitasikika mtoa mada ni mjinga
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.

Mwanaume anaweza kutoa hela nyingi kwa mwanamke asiyemuomba hela lakini hutoa pesa kidogo kwa mwanamke muombaji hela. Tafsiri ya mwanaume kwa mwanamke asiyeomba hela huwa ndio mwanamke sahihi na mstahamilivu hata kwenye vipindi vigumu.

Hela hutakiwi kuiomba kwa mwanaume ila unatakiwa kuonesha thamani kama hela atakupa yeye mwenyewe bila kuomba, na uzuri wa mwanaume ukiijenga thamani kwake wala hana ajizi kukupa hela. Mwanamke aliefundwa na akafundika kamwe hawezi kuomba hela kwa mwanaume, matokeo ya kutokufundwa ndio hili wimbia la omba omba tunaloliona zama hizi.

Nafasi ya hela kwenye mapenzi ya dhati ni ndogo sana na sio kweli kuwa ukipendwa kwa dhati ndio hupewa hela. Hela hutumika kununua bidha au thamani ya kitu ukiona wewe muda wote ni kuomba omba hela tu jua kuwa, mbele ya mwanaume kwake hukuona kama bidhaa na sio mwanamke mwenye thamani mbele yake.

Kama baba yako mzazi kashindwa kukutatulia changamoto zako za kimaisha, vipi kijana uliyekutana nae mtandaoni akutatulie changamoto za maisha yako yote? Acha kuomba omba hela kwa mwanaume unapunguza thamani yako na mwisho wa siku utapewa talaka kweupe kwasababu wanaume hawapendi kuombwa hela.

Slay queens bana
 
Tabia kama hizo zinaletwa na umaskini wa mali/ hela, umaskini wa elimu, na umaskini wa fikra. Wazazi hata wa kipato cha kati, wengi wana umaskini wa elimu ya malezi na elimu ya fikra. Anashindwa kupambana kumlea mtoto wa Kike akakua bila ya kuwa omba omba. Unakuta wazazi wenyewe wanataka mtoto awe chanzo cha kipato hata kutegemea Mahari iwasaidie. Pia wazazi wanashindwa kufundisha mtoto wa Kike kwamba kudanga ni jambo lenye hasara maishani, na pia wanashindwa kumfundisha ASIWE NA TABIA YA KUSHOW OFF. Mimi nime-date Wadada kadhaa lakini unakuta badala ya aniombe hela ya mtaji wa biashara au ya kufanyia maendeleo, ni bora aniombe hela ya kusuka nywele, hela ya kununulia iPhone, hela ya kununulia nguo nk. Wengi ndio wananunuliwa hizo iphone kwelikweli, ila shule na vyuo wanaacha, mimba wanapachikwa na wanaume wanakimbia majukumu ya malezi, future inaharibika, na hata ukimwi wanaupata.
wanawake wengi hawako independent kabisa ndio maana unakuta wanaharibiwa future.
 
Tafuteni hela acheni kelele...... mtu anakutongoza akuchakate wewe unadhani umefanyiwa business approach
 
Wanawake wa kiafrika msipo ondokana na huu umatonya wa kuona pesa na mali za mwanaume ni zako na una maamuzi nazo bila yeye kukupa ruhusa, mtachezewa sana na kutumika hovyo.

Sababu mnakuwa mnaongelea hela za mtu az if baba zenu waliwaachia ili mkachukue kwao.

Unapomjengea mwanaume hii haiba kuwa wewe kwake unahitaji pesa ili kuwa nae then automatically unamwambia wewe ni kitu cha kutumika na huna tofauti na kahaba anaejiuza.

Niwaambie tu ukishakuwa na hii tabia baraka za MUNGU zinaondoka katika kukufungulia njianl ya kuwa mke bora wa mtu. Ndio maana siku hizi mnakaa kulia lia tu wanaume wanawachezea au waowaji hakuna kumbe ni haya matabia ya kukera mnayoendekeza.

Supply yenu mtaani ni kubwa sana siku hizi na wanaume wanazidi kuwaona mizigo sababu wakitaka ni swala la pesa tu. Halafu hela zenyewe sasa mnazovulia chupi ni za kipuuzi sana na zinadhalilisha utu wenu.

Wewe elfu 10, 20, 30,40 au 50 ndio ikufanye usiwe mvumilivu kwa mwanaume uolewe akuhudumie kama mke.


Unakutana na mtu kisa m'mefanya mara moja tu tayari mnaanza kutangaza njaa. Hebu muwe muwe na staha. Ficheni hizo aibu. Kuwa na mahusiano na mwanaume utakae mpenda na mwisho wa siku Ingia katika ratiba zake na ujue unalekea nae wapi na sio kuweka mitego ya pesa ndogo ndogo unafanya mtu akuone haupo serious nae umekuja kuganga njaa.
 
Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
Kwani huo utamu tunapata pekee yetu?! Unataka nambia wakati wa kupigwa miti wewe huwa hausikii chochote. Nyie ndio mnafanya wanaume akikaa kifuani anamwaga fasta ukilalamika sijui sijafika au sijamaliza anakuuliza yaani hela nikupe na utamu nikupe.... Tafuta mwenyewe utamu wako.

Maneno kama haya ndio yanadhihirisha kuwa mabinti mnajiuza. Sasa sijui unahisi hapa mnakomoa wanaume?! Sasa unatembea na wanaume wangapi hadi uje umkute huyo wa kukubali wewe kama mke wa ndoa?!

Yaani hapo ni utachakazwa ukijastuka 30 hii hapa, nani ataka kuoa binti umeshachakazwa utaambilia mimba tu na atayekupa hawezi kuoa ndo maana siku hizi masingle mother ni wengi
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.

Mwanaume anaweza kutoa hela nyingi kwa mwanamke asiyemuomba hela lakini hutoa pesa kidogo kwa mwanamke muombaji hela. Tafsiri ya mwanaume kwa mwanamke asiyeomba hela huwa ndio mwanamke sahihi na mstahamilivu hata kwenye vipindi vigumu.

Hela hutakiwi kuiomba kwa mwanaume ila unatakiwa kuonesha thamani kama hela atakupa yeye mwenyewe bila kuomba, na uzuri wa mwanaume ukiijenga thamani kwake wala hana ajizi kukupa hela. Mwanamke aliefundwa na akafundika kamwe hawezi kuomba hela kwa mwanaume, matokeo ya kutokufundwa ndio hili wimbia la omba omba tunaloliona zama hizi.

Nafasi ya hela kwenye mapenzi ya dhati ni ndogo sana na sio kweli kuwa ukipendwa kwa dhati ndio hupewa hela. Hela hutumika kununua bidha au thamani ya kitu ukiona wewe muda wote ni kuomba omba hela tu jua kuwa, mbele ya mwanaume kwake hukuona kama bidhaa na sio mwanamke mwenye thamani mbele yake.

Kama baba yako mzazi kashindwa kukutatulia changamoto zako za kimaisha, vipi kijana uliyekutana nae mtandaoni akutatulie changamoto za maisha yako yote? Acha kuomba omba hela kwa mwanaume unapunguza thamani yako na mwisho wa siku utapewa talaka kweupe kwasababu wanaume hawapendi kuombwa hela.

Binafsi nachukia mwanamke mzigo, yeye kila kukicha anaomba hela tu na kuhitaji anunuliwe vitu kama mtoto mdogo wakati hana issue yeyote. Demu akianza kuniomba hela tu naanza kupang namna ya kumtema, mtu anatoka kake kuja kuliwa uroda ambao na yeye anapenda eti anataka nimpe nauli y kurudia kwao na nimpe posho ya kuliwa uroda, for what wakati hakufanya chochote zaidi ya kulala tu na kuangalia status yake Instagram.
 
Ukiona mwanaume hakupi hela mpaka umuombe jua kuwa wewe huna thamani kwake, kwasababu mwanaume yoyote anapopenda sehemu neno sina hela huwa halipo kwake na hutoa hela bila kuombwa na mwanamke. Mwanaume humtoa thamani mwanamke muomba hela na humtafsiri kuwa sio mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.

Mwanaume anaweza kutoa hela nyingi kwa mwanamke asiyemuomba hela lakini hutoa pesa kidogo kwa mwanamke muombaji hela. Tafsiri ya mwanaume kwa mwanamke asiyeomba hela huwa ndio mwanamke sahihi na mstahamilivu hata kwenye vipindi vigumu.

Hela hutakiwi kuiomba kwa mwanaume ila unatakiwa kuonesha thamani kama hela atakupa yeye mwenyewe bila kuomba, na uzuri wa mwanaume ukiijenga thamani kwake wala hana ajizi kukupa hela. Mwanamke aliefundwa na akafundika kamwe hawezi kuomba hela kwa mwanaume, matokeo ya kutokufundwa ndio hili wimbia la omba omba tunaloliona zama hizi.

Nafasi ya hela kwenye mapenzi ya dhati ni ndogo sana na sio kweli kuwa ukipendwa kwa dhati ndio hupewa hela. Hela hutumika kununua bidha au thamani ya kitu ukiona wewe muda wote ni kuomba omba hela tu jua kuwa, mbele ya mwanaume kwake hukuona kama bidhaa na sio mwanamke mwenye thamani mbele yake.

Kama baba yako mzazi kashindwa kukutatulia changamoto zako za kimaisha, vipi kijana uliyekutana nae mtandaoni akutatulie changamoto za maisha yako yote? Acha kuomba omba hela kwa mwanaume unapunguza thamani yako na mwisho wa siku utapewa talaka kweupe kwasababu wanaume hawapendi kuombwa hela.

pweeeeintiiiii hii... mzee agiza soda kwa bili yako. umenena vyema kabisa
siyo kwamba mwanaume ni mgumu kutoa pesa ,bali unatoa pesa kwa mwanamke wa aina gani?? ana mapenzi nawewe?/ ana kitu cha ziada anaku offer?? au hilo tundu lake tu ambalo hata kimboka waweza kulipata?? ngoja niishie hapa ,ntachefukwa bure
 
Wanaume wa siku hizi

Hivi hamuoni raha ya kuombwa na mpenzi wako????
Tukupe millioni 10 halafu tuanze kukuomba uone kama utafikia malengo ya hiyo millioni 10. Au tukugeuze jinsia uwe mwanaume waanze wanawake wenzako kukuomba labda🤣🤣
 
Mhh mtaombwa tu hakuna namna na nyie muache kutuomba utamu ili kila mtu abaki na cha kwake.
:D:D:D mnachekesha kweli, na marafiki nao tunawaombaga huo utamu. Maana ninamarafiki na ninawaheshimu sana sina hata mawazo ya kufanya hivyo ila wanaomba tutasemaje???
 
Back
Top Bottom