Mmmh utafiti wako huu Mtambuzi nasita kuuamini hasa nikikumbuka dada yangu alivyonyooka ghafla kwa sababu ya msongo wa mawazo ya ndoa yake!
Hivi kumbe nitts alivyokupiga chini ulikonda eh?
Hehehehe hivi kumbe ndivyo anavyokudanganya kaka ake kuwa kanipiga chini????? ataanzia wapi ???
Na Vin Diesel kakutosa nasikia.
Nafikiri utafiti ni wa kimagharibi zaidi, nenda vijijini kama utawaona hao wanawake wanene, labda vibibi. Ina maana huko hakuna stress?
Mimi nikiwa depressed hata hamu ya kula sina!
Na Vin Diesel kakutosa nasikia.
Teh teh teh.....ni rahisi sana ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Vin Diesel kunitosa lol!
Teh teh teh.....ni rahisi sana ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Vin Diesel kunitosa lol!
we Vin Diesel sasa mbona unam cheat sweetlady?