Ukiona mwanamke anaikataa ndoa jua yamemfika hapa!

Habari za muda huu wakuu

Nimejiskia kushare historia yangu ya safari ya ndoa KWA UFUPI SANA wakuu ukiona mwanamke kachoka kavumilia mengi

Mimi ni mwanamke mwenye watoto3 niliolewa miaka14 iliyopita nkajaliwa watoto wa3.

Nimeishi kwenye ndoa ya mateso kwa miaka 12 hadi nilipoona inatoshaa na kuamua kukaa pembeni kujiepusha na malumbano.

Kwa kifupi tulipoingia kwenye ndoa na aliyekua mume wangu nikiwa naanza kazi wakati huo yeye alishafanya kazi sehemu tofautitofauti kwani hata kwa umri ni mkubwa kwangu amenipita miaka karibu 10

Tulipoana mwenzangu alikua anafanya kazi mbali na mimi (mikoa tofauti) na wakati huo mimi nilikua nafanya kazi ya mkataba mfupi. Tulikubaliana nisiache kazi hadi hapo nitakapopata kazi kule alipo.

Mungu mkubwa miezi miwili baada ya ndoa niliconcive nikaendelea na kazi hadi nilipojifungua.

Wakati nikiwa mjamzito nilianza kuhisi mwenzangu hajui majukumu yake kwani alikua anajua nilikua nalipwa kidogo sana tena nalipwa kwa wiki lakini hakuwahi kunisupport chochote kama mke iwe kodi, mavazi, au pesa ya kula.

Ikitokea amenipa pesa basi ujue labda laki1 au moja na nusu kwa miezi 6 tena baada ya kuomba sana na kulalamikiwa sana.

Mtoto wangu akiwa na miezi5 kazi yangu iliisha tukaamua niungane mwenzangu anakofanyia kazi. Tuliishi kwa amani, mwenzangu akiwa anaenda kazini Mimi nabaki nyumbani pia aliahidi kunitafutia kazi.

Basi wakati huo nikiwa mama wa nyumbani mtoto anaweza akawa anaumwa mwenzangu anaenda pharmacy ananunua dawa ananiambia nimpe yeye anaenda kazini.

Nilikuwa nabaki nyumbani nina chakula tuu ila senti tano sina. Kuna kipindi nilibaki na mtoto akazidiwa sina hata vocha ya kupiga sim.

Nilihisi kumpoteza mwanangu nikaomba wasamaria wema msaada mwanangu akatibiwa nikiahidi nitawalipa pesa zao. Jioni aliporudi mwenzaàngu nilimwambia alinyamaza nikampa namba za walionisaidia na kiasi walichonipa.

Hakuonyesha Kujali ila baada ya siku 2 aliwatafuta na kuwapa pesa yao. HAPO KENGELE ZA HOFU ZILIANZA KULIA KICHWANI NIKAONA ILI NIISHI MIMI NA MWANANGU LAZIMA NIFANYE KAZI.

Kama mwanamke yoyote nilimweshim sana mume wangu sikutaka kabisa kumuudhi nilikua naongea nae kwa busara kuhusu maisha na majukumu yetu kama wazazi ila hakuwahi kunipa majibu ya wasiwasi niliokua nao wala kuonyesha njia ya kupata suluhu. Niliumia na kuogopa sana na moyoni nilijua lazima nifanye kazi sana.

Basi nikampigia kaka yangu aliyekua ananitaftia vibarua, nikamwambia kaka huku sina kazi mwaka sasa,nikamwomba anitumie msg kuna kazi (japo haikuwepo) ili niweze kuomba nauli na kurudi sehemu ambayo ni kama nyumbani na ni rahisi hata kupata msaada

Nilirudi nikatafuta kazi nikapata na maisha yakaendelea.

Mwenzangu hakuwahi badilikaaa, kila kitu nilikua najifanyia mwenyewe, kodi, matibabu, kula, kuvaa na bills zote. Ikitokea amekuja basi ataweka laki mezani itatumika na kwisha kabla hata ya yeye kuondoka..lakini hasemi kitu achilia mbali mimi kumwambia nimekopa hapa na pale kujikimu. Kuna wakati niliomba wakubwa zake wamshauri lakini hakuna lililobadilika.

Miaka 5 baada ya ndoa nilikuja kugundua na wanawake kibao Kati yao akiwa girlfriend wake wa shuleni ambae alikua mke wa mtu ambae katika mawasliano yao ya email waliapa kutokuachana.NILIUMIA SANAAA NIKASEMA BASI NDOA STAKI TENA MAANA NATESEKA BILA SABABU ZA MSINGI.

Aliomba msamaha sikuweza kumsikiliza wazazi wakaanza kusuluhisha na baada ya kama miezi8 yaliisha tukaanza upya. Tuliishi hivyo siku zikawa zinasonga sikuskia tena habari za wanawake ila huduma ya familia haikuwepo bila ugomvi na ukitokea ametoa labda ada ya mtoto kama ni 1M atatoa laki4 na akishaoa hiyo chakula, matibabu, kodi, kuvaa sio juu yake uksema umjaribu kwa kumshauri kumhamishia mtoto shule za serikali anakataa

Miaka mi3 iliyopita hali ilizidi kuzorota, watoto 3 mzigo akanizidi, nikamwambia lazima kukaa na kujadili mstakabali wa familia hapo kwa Mara ya kwanza alinitukana na kuniambia sitakiwi kumsemesha chochote kwani kila ninachomwambia anakijua......nilishangaa NIKASEMA majukumu tuu yanatufikisha hapa! Wacha ninyamaze.

Baada ya siku chache nikagundua kumbe ana wanawake wanamsumbua hata yule old girlfriend bado yuko nae

Hapa ndipo nilifanya maamuzi kwamba mimi na yeye basi. Tuna watoto wazuri na nawapenda sana nadhani hata yeye anawapenda japo siwezi kumsemea....

Sikuona sababu ya mimi kuendelea kuishi na mtu ambaye

1.Hanijali

2.Hanipi support yoyote na zaidi

3.Ananisaliti kitu ambacho ni hatari magonjwa haya mengi tusijeacha watoto kizembe

Aanakuja akiomba msamaha nimemsamehe kabisa lakini siwezi kurudiana nae

Nilichoka roho, akili na mwili hata akioa leo aoe tuu

Nilichoka kufanya majukumu ya mama na ya baba na kusalitiwa juu
Pole sana
 
Huyu ndugu yangu Sidhani kama akili zitamrudia nikiweka Maisha yake hapa unaweza kustaajabu mimi ninacho mpongeza ana uvumilivu wa ajabu sana maana licha ya Mwaume kuwa mgumu kutoa pesa ya matunzo pia ni mpigaji.
Hiyo story ya ndugu yako haipishani sana na ya huyo ndugu yangu; ambaye aliendelea kuvumilia hadi watoto waliposema basi. Bila watoto kuingilia; hadi leo angeendelea kuwa kwenye mateso. I think kunakuwa na emotional dependence pia ndo maana wao kutoka inakuwa ngumu. Na ile kusave face kwa jamii isikuone kuwa umeachika basi ni mwanamke mpumbavu.
 
Wewe punguani kweli wewe unazungumziaje dada zangu wasiokuepo? Haya mpeleke mamako mzazi naye ajaribu uone raha ili mfaidi vizuri

Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu!! Sasa umepanic nini kuambiwa umpeleke Dadaako nae aenjoy kwa huyo jamaa? Unajua fika km huyo mwanaume hafai ila tu ushabiki na upumbavu unakusumbua! Km unampenda sn huyo dume suruali mwenzio basi mpe Dadaako aenjoy
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu!! Sasa umepanic nini kuambiwa umpeleke Dadaako nae aenjoy kwa huyo jamaa? Unajua fika km huyo mwanaume hafai ila tu ushabiki na upumbavu unakusumbua! Km unampenda sn huyo dume suruali mwenzio basi mpe Dadaako aenjoy

Tulia kama unanyilewa acha tumpiganie kamanda apate haki yake
 
Hiyo story ya ndugu yako haipishani sana na ya huyo ndugu yangu; ambaye aliendelea kuvumilia hadi watoto waliposema basi. Bila watoto kuingilia; hadi leo angeendelea kuwa kwenye mateso. I think kunakuwa na emotional depensece pia ndo maana wao kutoka inakuwa ngumu. Na ile kusave face kwa jamii isikuone kuwa umeachika basi ni mwanamke mpumbavu.

Trauma Bond ndo inawafanya wengi washindwe kutoka kwenye mahusiano ya mateso
 
Hata mimi nilishawahi kumuuliza hilo swali sikupata majibu Ila baada ya kujua hajawahi kuachana na X wake akili ilifunguka,
Kwa kifupi hatujawahi kutukanana wa kupigana, maneno japo kulikua na majibishano ya hapa na pale kipindi ninapomwambia labda mtoto anahitaji ada, au sina kabisa pesa ya kula.
Ninachodhani ni kwamba alinioa sababu sikua mwanamke wa kudemand vitu nilichokua naweza kufanya hata kumsupport nilikua nafanya hadi na sent yangu ya mwisho
Kosa kubwa Sana hili mom
 
Mwanamke akichoka huwa hashikiki, pole Sana umefanya uamuzi sahihi.
Kuna watu wanaowa ili wao wasiwe na majukum ya familia hasa hawa wanaume wanaotaka wanawake wafanyakazi.
 
Habari za muda huu wakuu

Nimejiskia kushare historia yangu ya safari ya ndoa KWA UFUPI SANA wakuu ukiona mwanamke kachoka kavumilia mengi

Mimi ni mwanamke mwenye watoto3 niliolewa miaka14 iliyopita nkajaliwa watoto wa3.

Nimeishi kwenye ndoa ya mateso kwa miaka 12 hadi nilipoona inatoshaa na kuamua kukaa pembeni kujiepusha na malumbano.

Kwa kifupi tulipoingia kwenye ndoa na aliyekua mume wangu nikiwa naanza kazi wakati huo yeye alishafanya kazi sehemu tofautitofauti kwani hata kwa umri ni mkubwa kwangu amenipita miaka karibu 10

Tulipoana mwenzangu alikua anafanya kazi mbali na mimi (mikoa tofauti) na wakati huo mimi nilikua nafanya kazi ya mkataba mfupi. Tulikubaliana nisiache kazi hadi hapo nitakapopata kazi kule alipo.

Mungu mkubwa miezi miwili baada ya ndoa niliconcive nikaendelea na kazi hadi nilipojifungua.

Wakati nikiwa mjamzito nilianza kuhisi mwenzangu hajui majukumu yake kwani alikua anajua nilikua nalipwa kidogo sana tena nalipwa kwa wiki lakini hakuwahi kunisupport chochote kama mke iwe kodi, mavazi, au pesa ya kula.

Ikitokea amenipa pesa basi ujue labda laki1 au moja na nusu kwa miezi 6 tena baada ya kuomba sana na kulalamikiwa sana.

Mtoto wangu akiwa na miezi5 kazi yangu iliisha tukaamua niungane mwenzangu anakofanyia kazi. Tuliishi kwa amani, mwenzangu akiwa anaenda kazini Mimi nabaki nyumbani pia aliahidi kunitafutia kazi.

Basi wakati huo nikiwa mama wa nyumbani mtoto anaweza akawa anaumwa mwenzangu anaenda pharmacy ananunua dawa ananiambia nimpe yeye anaenda kazini.

Nilikuwa nabaki nyumbani nina chakula tuu ila senti tano sina. Kuna kipindi nilibaki na mtoto akazidiwa sina hata vocha ya kupiga sim.

Nilihisi kumpoteza mwanangu nikaomba wasamaria wema msaada mwanangu akatibiwa nikiahidi nitawalipa pesa zao. Jioni aliporudi mwenzaàngu nilimwambia alinyamaza nikampa namba za walionisaidia na kiasi walichonipa.

Hakuonyesha Kujali ila baada ya siku 2 aliwatafuta na kuwapa pesa yao. HAPO KENGELE ZA HOFU ZILIANZA KULIA KICHWANI NIKAONA ILI NIISHI MIMI NA MWANANGU LAZIMA NIFANYE KAZI.

Kama mwanamke yoyote nilimweshim sana mume wangu sikutaka kabisa kumuudhi nilikua naongea nae kwa busara kuhusu maisha na majukumu yetu kama wazazi ila hakuwahi kunipa majibu ya wasiwasi niliokua nao wala kuonyesha njia ya kupata suluhu. Niliumia na kuogopa sana na moyoni nilijua lazima nifanye kazi sana.

Basi nikampigia kaka yangu aliyekua ananitaftia vibarua, nikamwambia kaka huku sina kazi mwaka sasa,nikamwomba anitumie msg kuna kazi (japo haikuwepo) ili niweze kuomba nauli na kurudi sehemu ambayo ni kama nyumbani na ni rahisi hata kupata msaada

Nilirudi nikatafuta kazi nikapata na maisha yakaendelea.

Mwenzangu hakuwahi badilikaaa, kila kitu nilikua najifanyia mwenyewe, kodi, matibabu, kula, kuvaa na bills zote. Ikitokea amekuja basi ataweka laki mezani itatumika na kwisha kabla hata ya yeye kuondoka..lakini hasemi kitu achilia mbali mimi kumwambia nimekopa hapa na pale kujikimu. Kuna wakati niliomba wakubwa zake wamshauri lakini hakuna lililobadilika.

Miaka 5 baada ya ndoa nilikuja kugundua na wanawake kibao Kati yao akiwa girlfriend wake wa shuleni ambae alikua mke wa mtu ambae katika mawasliano yao ya email waliapa kutokuachana.NILIUMIA SANAAA NIKASEMA BASI NDOA STAKI TENA MAANA NATESEKA BILA SABABU ZA MSINGI.

Aliomba msamaha sikuweza kumsikiliza wazazi wakaanza kusuluhisha na baada ya kama miezi8 yaliisha tukaanza upya. Tuliishi hivyo siku zikawa zinasonga sikuskia tena habari za wanawake ila huduma ya familia haikuwepo bila ugomvi na ukitokea ametoa labda ada ya mtoto kama ni 1M atatoa laki4 na akishaoa hiyo chakula, matibabu, kodi, kuvaa sio juu yake🤗 uksema umjaribu kwa kumshauri kumhamishia mtoto shule za serikali anakataa

Miaka mi3 iliyopita hali ilizidi kuzorota, watoto 3 mzigo akanizidi, nikamwambia lazima kukaa na kujadili mstakabali wa familia hapo kwa Mara ya kwanza alinitukana na kuniambia sitakiwi kumsemesha chochote kwani kila ninachomwambia anakijua......nilishangaa NIKASEMA majukumu tuu yanatufikisha hapa! Wacha ninyamaze.

Baada ya siku chache nikagundua kumbe ana wanawake wanamsumbua hata yule old girlfriend bado yuko nae

Hapa ndipo nilifanya maamuzi kwamba mimi na yeye basi. Tuna watoto wazuri na nawapenda sana nadhani hata yeye anawapenda japo siwezi kumsemea....

Sikuona sababu ya mimi kuendelea kuishi na mtu ambaye

1.Hanijali

2.Hanipi support yoyote na zaidi

3.Ananisaliti kitu ambacho ni hatari magonjwa haya mengi tusijeacha watoto kizembe

Aanakuja akiomba msamaha nimemsamehe kabisa lakini siwezi kurudiana nae

Nilichoka roho, akili na mwili hata akioa leo aoe tuu

Nilichoka kufanya majukumu ya mama na ya baba na kusalitiwa juu
Wanaume Wana kazi.... Sio mchezo.....🤣🤣🤣
 
Habari za muda huu wakuu

Nimejiskia kushare historia yangu ya safari ya ndoa KWA UFUPI SANA wakuu ukiona mwanamke kachoka kavumilia mengi

Mimi ni mwanamke mwenye watoto3 niliolewa miaka14 iliyopita nkajaliwa watoto wa3.

Nimeishi kwenye ndoa ya mateso kwa miaka 12 hadi nilipoona inatoshaa na kuamua kukaa pembeni kujiepusha na malumbano.

Kwa kifupi tulipoingia kwenye ndoa na aliyekua mume wangu nikiwa naanza kazi wakati huo yeye alishafanya kazi sehemu tofautitofauti kwani hata kwa umri ni mkubwa kwangu amenipita miaka karibu 10

Tulipoana mwenzangu alikua anafanya kazi mbali na mimi (mikoa tofauti) na wakati huo mimi nilikua nafanya kazi ya mkataba mfupi. Tulikubaliana nisiache kazi hadi hapo nitakapopata kazi kule alipo.

Mungu mkubwa miezi miwili baada ya ndoa niliconcive nikaendelea na kazi hadi nilipojifungua.

Wakati nikiwa mjamzito nilianza kuhisi mwenzangu hajui majukumu yake kwani alikua anajua nilikua nalipwa kidogo sana tena nalipwa kwa wiki lakini hakuwahi kunisupport chochote kama mke iwe kodi, mavazi, au pesa ya kula.

Ikitokea amenipa pesa basi ujue labda laki1 au moja na nusu kwa miezi 6 tena baada ya kuomba sana na kulalamikiwa sana.

Mtoto wangu akiwa na miezi5 kazi yangu iliisha tukaamua niungane mwenzangu anakofanyia kazi. Tuliishi kwa amani, mwenzangu akiwa anaenda kazini Mimi nabaki nyumbani pia aliahidi kunitafutia kazi.

Basi wakati huo nikiwa mama wa nyumbani mtoto anaweza akawa anaumwa mwenzangu anaenda pharmacy ananunua dawa ananiambia nimpe yeye anaenda kazini.

Nilikuwa nabaki nyumbani nina chakula tuu ila senti tano sina. Kuna kipindi nilibaki na mtoto akazidiwa sina hata vocha ya kupiga sim.

Nilihisi kumpoteza mwanangu nikaomba wasamaria wema msaada mwanangu akatibiwa nikiahidi nitawalipa pesa zao. Jioni aliporudi mwenzaàngu nilimwambia alinyamaza nikampa namba za walionisaidia na kiasi walichonipa.

Hakuonyesha Kujali ila baada ya siku 2 aliwatafuta na kuwapa pesa yao. HAPO KENGELE ZA HOFU ZILIANZA KULIA KICHWANI NIKAONA ILI NIISHI MIMI NA MWANANGU LAZIMA NIFANYE KAZI.

Kama mwanamke yoyote nilimweshim sana mume wangu sikutaka kabisa kumuudhi nilikua naongea nae kwa busara kuhusu maisha na majukumu yetu kama wazazi ila hakuwahi kunipa majibu ya wasiwasi niliokua nao wala kuonyesha njia ya kupata suluhu. Niliumia na kuogopa sana na moyoni nilijua lazima nifanye kazi sana.

Basi nikampigia kaka yangu aliyekua ananitaftia vibarua, nikamwambia kaka huku sina kazi mwaka sasa,nikamwomba anitumie msg kuna kazi (japo haikuwepo) ili niweze kuomba nauli na kurudi sehemu ambayo ni kama nyumbani na ni rahisi hata kupata msaada

Nilirudi nikatafuta kazi nikapata na maisha yakaendelea.

Mwenzangu hakuwahi badilikaaa, kila kitu nilikua najifanyia mwenyewe, kodi, matibabu, kula, kuvaa na bills zote. Ikitokea amekuja basi ataweka laki mezani itatumika na kwisha kabla hata ya yeye kuondoka..lakini hasemi kitu achilia mbali mimi kumwambia nimekopa hapa na pale kujikimu. Kuna wakati niliomba wakubwa zake wamshauri lakini hakuna lililobadilika.

Miaka 5 baada ya ndoa nilikuja kugundua na wanawake kibao Kati yao akiwa girlfriend wake wa shuleni ambae alikua mke wa mtu ambae katika mawasliano yao ya email waliapa kutokuachana.NILIUMIA SANAAA NIKASEMA BASI NDOA STAKI TENA MAANA NATESEKA BILA SABABU ZA MSINGI.

Aliomba msamaha sikuweza kumsikiliza wazazi wakaanza kusuluhisha na baada ya kama miezi8 yaliisha tukaanza upya. Tuliishi hivyo siku zikawa zinasonga sikuskia tena habari za wanawake ila huduma ya familia haikuwepo bila ugomvi na ukitokea ametoa labda ada ya mtoto kama ni 1M atatoa laki4 na akishaoa hiyo chakula, matibabu, kodi, kuvaa sio juu yake uksema umjaribu kwa kumshauri kumhamishia mtoto shule za serikali anakataa

Miaka mi3 iliyopita hali ilizidi kuzorota, watoto 3 mzigo akanizidi, nikamwambia lazima kukaa na kujadili mstakabali wa familia hapo kwa Mara ya kwanza alinitukana na kuniambia sitakiwi kumsemesha chochote kwani kila ninachomwambia anakijua......nilishangaa NIKASEMA majukumu tuu yanatufikisha hapa! Wacha ninyamaze.

Baada ya siku chache nikagundua kumbe ana wanawake wanamsumbua hata yule old girlfriend bado yuko nae

Hapa ndipo nilifanya maamuzi kwamba mimi na yeye basi. Tuna watoto wazuri na nawapenda sana nadhani hata yeye anawapenda japo siwezi kumsemea....

Sikuona sababu ya mimi kuendelea kuishi na mtu ambaye

1.Hanijali

2.Hanipi support yoyote na zaidi

3.Ananisaliti kitu ambacho ni hatari magonjwa haya mengi tusijeacha watoto kizembe

Aanakuja akiomba msamaha nimemsamehe kabisa lakini siwezi kurudiana nae

Nilichoka roho, akili na mwili hata akioa leo aoe tuu

Nilichoka kufanya majukumu ya mama na ya baba na kusalitiwa juu
Dah...pole sana....ila mwanaume si Mjinga....Lazima kuna SABABU
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom