Kusema kweli nimeumia sana mwaya ila na wewe tukufinye kudogo ulikosea njia kwa huyo falaUmenifanya nicheke Miss Natafuta. Una umri gani mdogo wangu? Najua kuna umri ukifika utakua na majibu ya hili swali lako. asante mwaya
Naweza kuwa dada yako.mimi mkubwa tuUmenifanya nicheke Miss Natafuta. Una umri gani mdogo wangu? Najua kuna umri ukifika utakua na majibu ya hili swali lako. asante mwaya
Vipi baharia? itakuwa hii story inakuhusu kwa namna au nyingine au ndiyo mhusika mwenyewe nini? Mpende sana mkeo, penda watoto na pia hudumia familia. Hata kama mke ana gubu hiyo siyo sababu ya kusema haudumii familia. Hao ni watoto wako pia. Mimi hata kama mke wangu akinikataa siyo sababu ya kutohudumia familia.Sisi wanaume tunafahamu wanawake kama wewe mpo na sio wife material mnakua na gubu na mnamatatizo sana
Yes ni MBWA kabisa yaani, Management By Walking Around. One sided story zimekuwa kitanzi na hukumu kwa wanaune, haya yana tokea kwa pande zote mbili kwa msingi wa Nani zaidi, na beef kama hizi. Tumtegemee Mungu na tuji shushe ili familia zetu ziweze kustawi, mke karudi kwao kuendelea na vibarua vyake akiwa na mtoto mmoja mpaka wana fikisha watatu hapo kati hakukua na vikwazo? Je, mume anao uwezo wa kukaa na kulialia hadharani au anakufa na tai shingoni? Alimpenda mke ndio maana alimuoa ila ana teseka kimya kimya, wamama kuweni na huruma leeni watoto wenu ili wawe Bora hapo baadae, miaka kumi na nne si haba endeleeni kuupanda mlima mteremko bado, haya mwenye masikio na asikie.Pole sana. Sisi wanaume wakati mwingine sijui tunafikiria nini. Ndiyo maana tunaitwa MBWA
Kusema kweli nimeumia sana mwaya ila na wewe tukufinye kudogo ulikosea njia kwa huyo fala
Hukuwahi kupendwa toka mwanzo sema wewe hukushtuka tuu. Kama alikupenda basi ni for children bearing tuu.
Kingine, historia ya jinsi mlivoonana na huyo jamaa hadi kuoana hujatupatia, na najua itakuwa ina matongotongo mengi sana. Tupatie picha kamili ili tujue kama kweli huyo mumeo ana kosa ama wewe ndio mwenye matatizo.
Cc Unforgetable
Una muda gani katika ndoa, watoto?Wanaume wengine ni hatar.Mbona me sipo hivo?
Huyu ndugu yangu Sidhani kama akili zitamrudia nikiweka Maisha yake hapa unaweza kustaajabu mimi ninacho mpongeza ana uvumilivu wa ajabu sana maana licha ya Mwaume kuwa mgumu kutoa pesa ya matunzo pia ni mpigaji.
Soma vizur habari kama hujaelewa usitengeneze story zako mkuu. Ningerudi kwetu hao watoto tungewazaajeYes ni MBWA kabisa yaani, Management By Walking Around. One sided story zimekuwa kitanzi na hukumu kwa wanaune, haya yana tokea kwa pande zote mbili kwa msingi wa Nani zaidi, na beef kama hizi. Tumtegemee Mungu na tuji shushe ili familia zetu ziweze kustawi, mke karudi kwao kuendelea na vibarua vyake akiwa na mtoto mmoja mpaka wana fikisha watatu hapo kati hakukua na vikwazo? Je, mume anao uwezo wa kukaa na kulialia hadharani au anakufa na tai shingoni? Alimpenda mke ndio maana alimuoa ila ana teseka kimya kimya, wamama kuweni na huruma leeni watoto wenu ili wawe Bora hapo baadae, miaka kumi na nne si haba endeleeni kuupanda mlima mteremko bado, haya mwenye masikio na asikie.
silas maswe huyu arudi kwa kamanda waendelee na maisha akisikiliza haya wanayoandika hawa watu jukwaani hayamsaidii na wengi hawana ndoa humu