Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
hawajui wangejua yaliyopo ukoMnavyowananga ambao hawajaolewa utadhani walioolewa wamemaliza shida za dunia wakati baadhi ndio kwanza wanazianza
hawajui wangejua yaliyopo ukoMnavyowananga ambao hawajaolewa utadhani walioolewa wamemaliza shida za dunia wakati baadhi ndio kwanza wanazianza
Lkn kuolewa ukiwa na 30+ lzm tatizo litakuwepoHivi hizi tafiti mnafanyiaga wapi? Siwaelewi wanaume wa jf always mnakuja na Mada za kuwa discourage wanawake ambao hawako kwenye ndoa kwanini eti mnatusakamia wadogo zetu?
Kwa taarifa yako ndoa haina umri, mtu anaweza kuolewa akiwa na umri wowote ule na asiwe na kasoro
Kila binaadamu ana mipango yake na kujaaliwa Rizki yake kwa wakati wake, unaweza oa kibinti by 20's lakini kikawa na matatizo kuliko Huyo unayemuita gume gume age its just anumber tu UMRI SIO MOYO/ROHO
Mkuu 30 umeenda mbali sana.....akifika 28 tu bado bila bila sikushauri uoe hapo....Kwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika
Kwa akili yako na Mawazo yako! We umetumia kanuni gani kugundua hilo tatizo maana nna ndugu zangu wameolewa wakiwa na 35-36 na bado wako vzr tu na familia zao hawana tatizo,Lkn kuolewa ukiwa na 30+ lzm tatizo litakuwepo
Kwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika
..mkuu unataka mke alie experienced?????Umri huo ndio mzuri maana anakuwa amekomaa na unauzoefu na mambo mengi wala hahitaji kitechen party.
..Bila shaka utakuwa hujaolewa!!Tena watukome, muda wa kutafuta hela Havana Kazi kupondea wanawake tu, nilichogundua wanaume wa humu wengi Ni wambea. Sasa kwa mf mm nisipoolewa yeye itamghasi vipi au inamhusu vipi mxiiieee hadi yanaboa.
Mkuu umenena aiseeKwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika
walichelewa kuanza shule
HahahaWatakuja hapa wataishia kukutukana tu tena bila facts, sababu huwa hawapendi kuambiwa ukweli
acha kuwasema vibaya dada zetu wewe, kwani hakuna wanaume viburi? malaya wanaume hawapo? wataolewa muda wao ukifika.Kwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika
Eeeh sijaolewa kwani vipi, kuna shida? Unanidai?..Bila shaka utakuwa hujaolewa!!
Hawana kazi.. Wanatafuta story za kusogeza muda siku ipite.Kuna issues huwa nimeshindwa kabisa kuelewa zinamuathiri vipi mwanaume mpaka kujihusisha nazo. Mojawapo ni hii.
Kwa kifupi nina uzoefu wa kiasi fulani kuwa na urafiki wa kimapenzi au urafiki wa kawaida na wanawake waliozidi miaka 30.. Kuna vitu vingi sana najifunza kutoka kwao..
Wengi wao wanafika umri huo bila kuolewa kwa sababu zifuatazo..
Wengi toka wakiwa wadogo ni Viburi.. Wengine wana tabia ya Dharau.. Wengine wanajisikia sana.. Wengine wana mambo mengi, unakua na demu akili yake haitulii napenda mambo makubwa mno kuliko uwezo.. Wengine umalaya.
Kwa tabia hizo lazima mwanamke ufike miaka 30 bila kuolewa. Kama unatabia hizo mwanamke badilika mapema, wanaume tuko makini sana kwenye kuangalia mke wa kuoa. Badilika