M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 2,852
- 4,742
Miriam Lukindo Mauki anaandika;
Ukiona mume wako kachepuka na mfanyakazi wa kazi za ndani (na mara nyingine huwaoa kabisa), kuna mambo mawili;
1. Ni mwanamke mwenye lawama nyingi, yaani malalamiko.
Mwanamke asiye na kushukuru au asiyeona kitu anachokifanya mpenzi wake. Ni mwanamke mwenye makelele mengi ya kila wakati, kufoka foka bila kuyapima maneno yanayomtoka kinywani mwake, kwa ujumla huita "Nagging".
2. Ni mwanamke mwenye dharau.
Mwanamke asiye jishusha, ni mwanamke mwenye kiburi, asiye jali, kwa ujumla ni "Lack of submission".
Kwaleo kaa na hayo, kisha jipange na mtoko wa Dubai unaoletwa kwako na @optimum_traveltz optimum_traveltz.
Ukiona mume wako kachepuka na mfanyakazi wa kazi za ndani (na mara nyingine huwaoa kabisa), kuna mambo mawili;
1. Ni mwanamke mwenye lawama nyingi, yaani malalamiko.
Mwanamke asiye na kushukuru au asiyeona kitu anachokifanya mpenzi wake. Ni mwanamke mwenye makelele mengi ya kila wakati, kufoka foka bila kuyapima maneno yanayomtoka kinywani mwake, kwa ujumla huita "Nagging".
2. Ni mwanamke mwenye dharau.
Mwanamke asiye jishusha, ni mwanamke mwenye kiburi, asiye jali, kwa ujumla ni "Lack of submission".
Kwaleo kaa na hayo, kisha jipange na mtoko wa Dubai unaoletwa kwako na @optimum_traveltz optimum_traveltz.