Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 18,890 41,144 Jul 13, 2018 #2 bc hapo unadhan utawashika weng na hy title yako
Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Jul 13, 2018 Thread starter #3 mbaga jr said: bc hapo unadhan utawashika weng na hy title yako Click to expand... Na wewe ukaamua kukubali kushikwa kwa niaba ya wengi
mbaga jr said: bc hapo unadhan utawashika weng na hy title yako Click to expand... Na wewe ukaamua kukubali kushikwa kwa niaba ya wengi
faru john junior JF-Expert Member Dec 26, 2016 1,596 1,717 Jul 13, 2018 #5 Hahahha speed niliyokuja nayo basi tu
Abu_yazid JF-Expert Member Mar 28, 2014 3,436 4,241 Jul 13, 2018 #6 Daaahh... Aisee yaani aisee... Speed 260...
Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Jul 14, 2018 Thread starter #7 faru john junior said: Hahahha speed niliyokuja nayo basi tu Click to expand... Pole sana mkuu...pengine ungehitaji japo kombe la maji ya kunywa?
faru john junior said: Hahahha speed niliyokuja nayo basi tu Click to expand... Pole sana mkuu...pengine ungehitaji japo kombe la maji ya kunywa?
Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Jul 14, 2018 Thread starter #8 Abu_yazid said: Daaahh... Aisee yaani aisee... Speed 260... Click to expand...
monde arabe JF-Expert Member Oct 22, 2017 8,486 13,017 Jul 14, 2018 #9 Hapo nahisi swala anasema "sasa Baba Chui unaanza kunikula kuanzia wapi wangu,unaanzia mdomoni au nyuma kwenye mkia" Chui naye anajibu "tulia swala akitaka urafiki na chui ujue amekubali kuliwa kuanzia popote"
Hapo nahisi swala anasema "sasa Baba Chui unaanza kunikula kuanzia wapi wangu,unaanzia mdomoni au nyuma kwenye mkia" Chui naye anajibu "tulia swala akitaka urafiki na chui ujue amekubali kuliwa kuanzia popote"