Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
- Thread starter
- #41
Kwanza mwanaume rijali unayejiamini, unawezaje ukasumbuka na habari za mashoga?
Mara nyingi watu walio na kasoro na uanamume wao, au walio na mashaka na urijali wao, au wanaotaka kuthibitisha hadharani kuwa wao ni marijali ndio huwa wanababaika na mashoga.
Wanarukia habari za mashoga kwa nguvu zote ili wajithibitishe urijali wao na kufidia mashaka yao!
Na mara nyingi watu hao huwa wanashiriki vitendo vya ushoga au wanashiriki vitendo vinavyoshabihiana na ushoga, Kwahiyo wanatafuta namna ya kujiridhisha nafsi zao kwamba WAO SIO MASHOGA kwa kuwatusi mashoga.
Ni ugonjwa wa kisaikolojia tu!
umesema yotee sina la ziada ndugu ️
Sent using Jamii Forums mobile app