Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,801
Je ni kweli wateule wake hawamuelewi?Anateua kila mara na anatengua kila mara. Kila sehemu anayofanya ziara anakuta uozo uko pale pale. Wengine wanasema uongozi wa Jazba, vitisho, mihemko na chama kushika hatamu kila mhimili ndio kikwazo kinachomwangusha. Wengine wanasema haambiliki na hashauriki. Mimi naona ajitathimini kwanza kabla ya kuendelea na hiring and firing he might be wrong somewhere.