Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Hiyo ndio ilivyo...umemaliza chuo or wateva...umepata kaz au ka ajira mambo si mabaya...faaasta utaona vijana wanaoa...
Sasa mim nkajiuliza..hiv moyo wa kuoa mapema hiv wanautoa wap.mbona mim sina
Kwanza wazaz weng huwa hawapend watoto wao wa kiume waoe mapema ...hapo ndo ujiulize
Ni hiv wazaz weng hawapend kijana wao ambae kaanza maisha na ana kamshahara aoe...bisha ila huo ndo ukwel
Sasa ukiona jmaaa anaoa mapema.ujue demu wake au mwanamke wake yuko juu yake....habar ndo hyo...yaaan ana mcontrol na ndomana amelazimisha na kuweka mazingira mwana aoe
Enewei...leo mvua hii mida ya saa 3 ndo niko mwenge mataa mani.na...nkahairisha..waseme wasiseme..nikaenda piga U turn moja ya ajab makumbusho na kuelekea Hongera baa kupata chochote kitu na sasa nmerud zangu home hapa....
Well.siku ya leo naona nifanye usafi tuu hakuna namna..
Uzi tayar...
Sasa mim nkajiuliza..hiv moyo wa kuoa mapema hiv wanautoa wap.mbona mim sina
Kwanza wazaz weng huwa hawapend watoto wao wa kiume waoe mapema ...hapo ndo ujiulize
Ni hiv wazaz weng hawapend kijana wao ambae kaanza maisha na ana kamshahara aoe...bisha ila huo ndo ukwel
Sasa ukiona jmaaa anaoa mapema.ujue demu wake au mwanamke wake yuko juu yake....habar ndo hyo...yaaan ana mcontrol na ndomana amelazimisha na kuweka mazingira mwana aoe
Enewei...leo mvua hii mida ya saa 3 ndo niko mwenge mataa mani.na...nkahairisha..waseme wasiseme..nikaenda piga U turn moja ya ajab makumbusho na kuelekea Hongera baa kupata chochote kitu na sasa nmerud zangu home hapa....
Well.siku ya leo naona nifanye usafi tuu hakuna namna..
Uzi tayar...